johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Anza kwanza kuhoji matumizi ya kodi yako inayotafunwa kama ruzuku hapo Ufipa.wananchi wa kawaida tunayajadili haya kwasababu sisi ndiyo walipa kodi,
KUB atatimiza wajibu wake kama KUB.
Hivi mnadhani watanzani wote ni mburula kama watoto wenu mnaowasomesha kwa malipo mnayopata hapo Lumumba??
Huna akili, siasa ya Kenya inahusishaje na ya TZ?Jana nimebahatika kuhudhuria ibada katika Kanisa moja pale Mtwapa katika pwani ya Kenya, ama kwa hakika ibada iligeuka kuwa " kama" mkusanyiko wa wanasiasa.
Watu wanazungumzia nani awe Rais wa Kenya baada ya Uhuru kanisani wakibishana juu ya William Rutto, Raila Odinga na Gideon Moi.
Nilimouliza mwenyeji wangu uchaguzi wanafanya lini, akaniambia ni mwaka 2022 na kwamba Kenya nzima hata shughuli za uchumi zimerora kwa sababu kila kona mawazo ya watu yametawaliwa na mijadala ya uchaguzi.
Ndiposa nikaikumbuka marufuku ya Rais Magufuli kule nyumbani kwamba mikutano ya kisiasa ibakie majimboni tu tena ikihusu shughuli za maendeleo chini ya wabunge na madiwani husika tu, na kwamba mikutano mingine ya akina Polepole wa CCM na Tumaini Makene wa Chadema isubiri wakati wa kampeni.
Rais Magufuli alifanya maamuzi sahihi kabisa.
Niko njiani narudi nyumbani Tanzania, Mniombee tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Bado mbege iko kichwani saa 3 asubuhi!Kamwambie mama ako akuombee sisi hatuna huo muda mchafu.
Pumbavu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio mwenye akili bwashee......... Hahahaaaa!Huna akili, siasa ya Kenya inahusishaje na ya TZ?
Jana nimebahatika kuhudhuria ibada katika Kanisa moja pale Mtwapa katika pwani ya Kenya, ama kwa hakika ibada iligeuka kuwa " kama" mkusanyiko wa wanasiasa.
Watu wanazungumzia nani awe Rais wa Kenya baada ya Uhuru kanisani wakibishana juu ya William Rutto, Raila Odinga na Gideon Moi.
Nilimouliza mwenyeji wangu uchaguzi wanafanya lini, akaniambia ni mwaka 2022 na kwamba Kenya nzima hata shughuli za uchumi zimerora kwa sababu kila kona mawazo ya watu yametawaliwa na mijadala ya uchaguzi.
Ndiposa nikaikumbuka marufuku ya Rais Magufuli kule nyumbani kwamba mikutano ya kisiasa ibakie majimboni tu tena ikihusu shughuli za maendeleo chini ya wabunge na madiwani husika tu, na kwamba mikutano mingine ya akina Polepole wa CCM na Tumaini Makene wa Chadema isubiri wakati wa kampeni.
Rais Magufuli alifanya maamuzi sahihi kabisa.
Niko njiani narudi nyumbani Tanzania, Mniombee tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa......... Bwashee umekasirika sana!Ibada ni yao,wazungumze wanachotaka ni wao...
Rais watakao mchagua ni wao,wakimzungumzia wewe inakuhusu nini?
Usijifanye mawe alipiga marufuku siasa nchini sababu anaipenda sana nchi
Kila mtu anajua alipiga marufuku sababu anajua kabisa upinzani ukiachiwa huru wanachukua nchi maana yeye hajui siasa na hapendwi,thats clear!
Eti mawe anapenda sana utaifa eti ndio maana alipiga marufuku siasa,wewe una smoke kitu gani?
Na hoja yako ni hovyo zaidi maana mbona kipindi cha marais waliopita Mkapa,Kikwete,Mwinyi,Watanzania walikua huru na demokrasia,mbona hawakuongelea makanisani?
Iweje wewe leo uone eti wangezungumzia kama walivyo Wakenya?
Majitu yanamtetea mawe hua hayana akili hata kidogo.
Hii ndio quality ya mawazo ya majitu yanayotetea dictatorial tendencies za mawe?
Tuna hatari sana!
CCM ruzuku ni sh ngapi na CDM ni sh ngapi?Maana huwa siwaelewi kanisa mnaoleta hii hoja wakati CCM anapokea zaidi ya mara 6 ya anachopkea CDM!Anza kwanza kuhoji matumizi ya kodi yako inayotafunwa kama ruzuku hapo Ufipa.
Anza kufagia chumbani bwashee kama kweli una nguvu ya kushika " mfagio"
Sumu haionjwi by Frederick Sumaye
Furahia tu,siku watu wakichoka kudhulumiwa na wewe hutakuwa salama!Sehemu ambapo haki haipo kisiasa na kiuchumi,ni rahisi sana kupenyeza ugaidi au uasi!Ukute yule extrimist aliyechoka kunyanyaswa,ukampa tu silaha basi umemaliza!Tusijifanye tumesahau ya Kibiti,sasa imagine hiyo sumu ingekuwa imeenea nchi nzima ingekuwaje?Hahahaaaa......... Bwashee umekasirika sana!
Upinzani gani utakaochukua nchi?........huu unaosubiri Tume huru ya uchaguzi kwenye sahani?
Mtasubiri sana.
Hahahaaaa......... Bwashee umekasirika sana!
Upinzani gani utakaochukua nchi?........huu unaosubiri Tume huru ya uchaguzi kwenye sahani?
Mtasubiri sana.
Magufuli ametamka tu maneno ya kuzuia mikutano ya kisiasa, ila katika uhalisia wa swala lenyewe, waliozuia mikutano hiyo ni wanasiasa kutoka upinzani, siyo Magufuli!Jana nimebahatika kuhudhuria ibada katika Kanisa moja pale Mtwapa katika pwani ya Kenya, ama kwa hakika ibada iligeuka kuwa " kama" mkusanyiko wa wanasiasa.
Watu wanazungumzia nani awe Rais wa Kenya baada ya Uhuru kanisani wakibishana juu ya William Rutto, Raila Odinga na Gideon Moi.
Nilimouliza mwenyeji wangu uchaguzi wanafanya lini, akaniambia ni mwaka 2022 na kwamba Kenya nzima hata shughuli za uchumi zimerora kwa sababu kila kona mawazo ya watu yametawaliwa na mijadala ya uchaguzi.
Ndipo sasa nikaikumbuka marufuku ya Rais Magufuli kule nyumbani kwamba mikutano ya kisiasa ibakie majimboni tu tena ikihusu shughuli za maendeleo chini ya wabunge na madiwani husika tu, na kwamba mikutano mingine ya akina Polepole wa CCM na Tumaini Makene wa Chadema isubiri wakati wa kampeni.
Rais Magufuli alifanya maamuzi sahihi kabisa.
Niko njiani narudi nyumbani Tanzania, Mniombee tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Lugha ya kifasihi hiyo mkuuBaba umekosea kuandika ama umeandika sahihi malekani apitwe na Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Katazo lipo kwa vyama vya siasa tu, ila mwenyewe, Bashiru na Pole Pole kila siku wanafanya mikutanoJana nimebahatika kuhudhuria ibada katika Kanisa moja pale Mtwapa katika pwani ya Kenya, ama kwa hakika ibada iligeuka kuwa " kama" mkusanyiko wa wanasiasa.
Watu wanazungumzia nani awe Rais wa Kenya baada ya Uhuru kanisani wakibishana juu ya William Rutto, Raila Odinga na Gideon Moi.
Nilimouliza mwenyeji wangu uchaguzi wanafanya lini, akaniambia ni mwaka 2022 na kwamba Kenya nzima hata shughuli za uchumi zimerora kwa sababu kila kona mawazo ya watu yametawaliwa na mijadala ya uchaguzi.
Ndipo sasa nikaikumbuka marufuku ya Rais Magufuli kule nyumbani kwamba mikutano ya kisiasa ibakie majimboni tu tena ikihusu shughuli za maendeleo chini ya wabunge na madiwani husika tu, na kwamba mikutano mingine ya akina Polepole wa CCM na Tumaini Makene wa Chadema isubiri wakati wa kampeni.
Rais Magufuli alifanya maamuzi sahihi kabisa.
Niko njiani narudi nyumbani Tanzania, Mniombee tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Katazo lipo kwa vyama vya siasa tu, ila mwenyewe, Bashiru na Pole Pole kila siku wanafanya mikutanoJana nimebahatika kuhudhuria ibada katika Kanisa moja pale Mtwapa katika pwani ya Kenya, ama kwa hakika ibada iligeuka kuwa " kama" mkusanyiko wa wanasiasa.
Watu wanazungumzia nani awe Rais wa Kenya baada ya Uhuru kanisani wakibishana juu ya William Rutto, Raila Odinga na Gideon Moi.
Nilimouliza mwenyeji wangu uchaguzi wanafanya lini, akaniambia ni mwaka 2022 na kwamba Kenya nzima hata shughuli za uchumi zimerora kwa sababu kila kona mawazo ya watu yametawaliwa na mijadala ya uchaguzi.
Ndipo sasa nikaikumbuka marufuku ya Rais Magufuli kule nyumbani kwamba mikutano ya kisiasa ibakie majimboni tu tena ikihusu shughuli za maendeleo chini ya wabunge na madiwani husika tu, na kwamba mikutano mingine ya akina Polepole wa CCM na Tumaini Makene wa Chadema isubiri wakati wa kampeni.
Rais Magufuli alifanya maamuzi sahihi kabisa.
Niko njiani narudi nyumbani Tanzania, Mniombee tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Wanakagua utekelezaji wa ilani!Katazo lipo kwa vyama vya siasa tu, ila mwenyewe, Bashiru na Pole Pole kila siku wanafanya mikutano
Sent using Jamii Forums mobile app