Naunga mkono hojaKwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2
Kwa ukabila?Kwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2
Kenya LEVO ingine kukompea na pande hii..
Kwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2
Hii tume ya uchaguzi kenya imeanza na "independent" katika jina lake. Wenzetu wameunda tume yao katika mchakato mahsusi wa mijadala iliyo wazi na ya kidemokrasia. Ilitokana na michakato iliyohusisha wasomi wabobezi katika sheria na siasa na hatimaye raia wa kawaida. Ni tume mahili ya kuigwa na wapenda demokrasia.Hii tume ya Uchaguzi ya kenya haina mlinganisho, NEC ni pure CCM na kama NEC ndo itaendelea kwa muundo huu wa sasa bora wakashiriki CCM wenyewe, kwa kifupi hatuna tume tuna branch ya CCM inayo simamia uchaguzi.
Kwa hii NEC kuitoa CCM ni ndoto za mchana.
NEC haiwezi ruhusu Parallel tallying na hata CCM hawezi kubali NEC wafanye kitu kama hicho.View attachment 2318361
Siasa za kijamaa huondoa akili za wananchi kufikiri, na hutengeza uoga kwa wananchi. Na ikitokea usiwe muoga utabambikiwa kesi, kuitwa mchochezi na hata kutekwa ama kushambuliwa na vikundi vyenye Backup ya dola.Nadhani MUNGU ameturaani watanzania.kwanini tunakubali kuwa wajinga Kila leo?
Kwa ukabila?
Hii tume ya Uchaguzi ya kenya haina mlinganisho, NEC ni pure CCM na kama NEC ndo itaendelea kwa muundo huu wa sasa bora wakashiriki CCM wenyewe, kwa kifupi hatuna tume tuna branch ya CCM inayo simamia uchaguzi.
Kwa hii NEC kuitoa CCM ni ndoto za mchana.
NEC haiwezi ruhusu Parallel tallying na hata CCM hawezi kubali NEC wafanye kitu kama hicho.View attachment 2318361
Katiba ya kenya ina vipengele mahsusi kuainisha regional balance katika mgao wa bajeti, teuzi nk. Ukilundika watu wa kabila lako katika teuzi unabuluzwa mahakamani. Na kweli teuzi nyingi zimebatilishwa kwa kuegemea ukabila. Angalau wenzetu wameunda katiba na mifumo thabiti ya utawala bora ingawaje kwa asili ya binadamu bado wanayo mapungufu ktk utekelezaji.Ukabila hata hapa upo japo hauwekwi wazi moja kwa moja. Hapa kwetu ujinga na ukondoo uliopo ni zaidi ya ukabila.
Katiba ya kenya ina vipengele mahsusi kuainisha regional balance katika mgao wa bajeti, teuzi nk. Ukilundika watu wa kabila lako katika teuzi unabuluzwa mahakamani. Na kweli teuzi nyingi zimebatilishwa kwa kuegemea ukabila. Angalau wenzetu wameunda katiba na mifumo thabiti ya utawala bora ingawaje kwa asili ya binadamu bado wanayo mapungufu ktk utekelezaji.
Hii tume ya Uchaguzi ya kenya haina mlinganisho, NEC ni pure CCM na kama NEC ndo itaendelea kwa muundo huu wa sasa bora wakashiriki CCM wenyewe, kwa kifupi hatuna tume tuna branch ya CCM inayo simamia uchaguzi.
Kwa hii NEC kuitoa CCM ni ndoto za mchana.
NEC haiwezi ruhusu Parallel tallying na hata CCM hawezi kubali NEC wafanye kitu kama hicho.View attachment 2318361
Kwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2
Ukisusa wao wanakula