mbarika JF-Expert Member Joined Apr 1, 2015 Posts 6,290 Reaction score 8,600 Aug 9, 2022 #41 VON BISMACK said: Shida CCM elimu hawana Ubinafsi, umasikini unapelekea kujuana katika ajira, teuzi mwisho ni ubadhilifu wa pesa na matumizi mabaya ya madaraka. Watanzania uoga ndio shida Click to expand... Wanajua ushabiki wa simba na yanga tuu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
VON BISMACK said: Shida CCM elimu hawana Ubinafsi, umasikini unapelekea kujuana katika ajira, teuzi mwisho ni ubadhilifu wa pesa na matumizi mabaya ya madaraka. Watanzania uoga ndio shida Click to expand... Wanajua ushabiki wa simba na yanga tuu Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
M Mzee Kijana JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 1,442 Reaction score 1,140 Aug 9, 2022 #42 Tindo said: Ukabila hata hapa upo japo hauwekwi wazi moja kwa moja. Hapa kwetu ujinga na ukondoo uliopo ni zaidi ya ukabila. Click to expand... Sisi si ukabila tu na udini umeshamiri. We angalia dhehebu gani linalodhibiti Serikali.
Tindo said: Ukabila hata hapa upo japo hauwekwi wazi moja kwa moja. Hapa kwetu ujinga na ukondoo uliopo ni zaidi ya ukabila. Click to expand... Sisi si ukabila tu na udini umeshamiri. We angalia dhehebu gani linalodhibiti Serikali.
luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,346 Reaction score 6,928 Aug 9, 2022 #43 Hahaha MURUSI said: Tanzania hakuna ukabila? Acha kujipa moyo Click to expand...
luangalila JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 6,346 Reaction score 6,928 Aug 9, 2022 #44 Hahaha MURUSI said: Tanzania hakuna ukabila? Acha kujipa moyo Click to expand...
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Aug 9, 2022 #45 Tz kweli mazuzu wanalipwa hela nyingi
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Aug 9, 2022 #46 Siasa za bongo za kunyenyekeanana kulinda ulaji
ki2c JF-Expert Member Joined Jan 17, 2016 Posts 7,719 Reaction score 14,506 Aug 9, 2022 #47 nwankoe said: Ukisusa wao wanakula Click to expand... Ni bora kutshiriki,nguvu Kubwa ielekezwe kwenye kuyaweka mambo sawa,kuliko kushiriki huku matokeo yanajulikana.
nwankoe said: Ukisusa wao wanakula Click to expand... Ni bora kutshiriki,nguvu Kubwa ielekezwe kwenye kuyaweka mambo sawa,kuliko kushiriki huku matokeo yanajulikana.
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,237 Reaction score 31,811 Aug 9, 2022 #48 Mwanakwetuuu said: Kwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2 Click to expand... 2008 election violence iliwafundisha somo kubwa sana wenzetu.
Mwanakwetuuu said: Kwenye siasa Kenya wapo 450 maili ,Tanzania Meta 2 Click to expand... 2008 election violence iliwafundisha somo kubwa sana wenzetu.