CosaNostra
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 382
- 139
Mambo ya uongo na uzushi huwa ni hatari sana, nchi nyingi zimeingia katika mapigano na mifarakano kwa ajili ya uongo wa watu wachache.
Ben - verified user hapa JF ameshiriki ku-publisize uongo kuwa eti mkuu wa majeshi (CDF) Gen . Davis Mwamunyange amedhuriwa na serikali inaficha taarifa zake.
Alifika mbali na kuipa serikali siku saba CDF aonekane hadharani. Bahati nzuri kutokana na kazi za kawaida, CDF akawepo katika media hii majuzi.
Sasa huyu Ben, anayefahamika na kutambulika anachukuliwa hatua gani? Sababu kesho atasema ooh, Kamishna wa TRA amedhurika, alikataa kupitisha mizigo fulani.... siku ingine Oooh, Mkuu wa uhamiaji amefanyiwa hiki au kile , na kadhalika.
Hawa ndio watu wanaotuletea tetesi zisizo na chembe ya ukweli na kisha kung'ang'ania kuwa ni kweli. Sometimes tetesi huwa zipo na huhojiwa zithibitishwe, lakini kung'ang'ania tetesi na kuzifanya ni ukweli inapasa tujue alikuwa na lengo gani? Nasema kwa nini Ben asihojiwe?
Ben - verified user hapa JF ameshiriki ku-publisize uongo kuwa eti mkuu wa majeshi (CDF) Gen . Davis Mwamunyange amedhuriwa na serikali inaficha taarifa zake.
Alifika mbali na kuipa serikali siku saba CDF aonekane hadharani. Bahati nzuri kutokana na kazi za kawaida, CDF akawepo katika media hii majuzi.
Sasa huyu Ben, anayefahamika na kutambulika anachukuliwa hatua gani? Sababu kesho atasema ooh, Kamishna wa TRA amedhurika, alikataa kupitisha mizigo fulani.... siku ingine Oooh, Mkuu wa uhamiaji amefanyiwa hiki au kile , na kadhalika.
Hawa ndio watu wanaotuletea tetesi zisizo na chembe ya ukweli na kisha kung'ang'ania kuwa ni kweli. Sometimes tetesi huwa zipo na huhojiwa zithibitishwe, lakini kung'ang'ania tetesi na kuzifanya ni ukweli inapasa tujue alikuwa na lengo gani? Nasema kwa nini Ben asihojiwe?