Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

Sultankundi

Member
Joined
May 10, 2023
Posts
26
Reaction score
37
Nipo Uturuki kwa muda mrefu sasa nimekuja kimasomo na kuangalia fursa nyingine pia.

Ila nimegundua kitu kimoja baada ya kufanya internship kwenye biashara ya kifamilia wenzetu kampuni zao za familia zinadumu kwa Generation na generation. Hii nliyopitia internship ni kampuni ina miaka 30 sasa na bado ipo.
Biashara zao zinadumu kwa sababu zifuatazo.
1. Wana mipango mizuri ya Urithi (succession plans) mtoto atafanya internship kwake ataanza, ataanza kuambiwa kuhusu umuhim wa biashara yao mapema labda akiwa high school atakuwa anatembea na baba yake kwenye deals mbalimbali na kuanza kuhusishwa kwenye network pia.


2. Asili ya mfumo wa kampuni ulivyo (bongo kampuni nyingi ni sole proprietorship) mfumo huu si rafiki kwa kutengeneza biashara itakayo kaa miaka na miaka biashara nyingi kwa sababu unakuwa hauna mshirika na biashara ikifa inakufa mazima ambazo zinadumu huwa zipo katika mfumo wa ushirika either kuna partner au investor mwingine atakaekusaidia kuikuza kampuni.
3. Usiri mwingi nlishuhudia familia bongo mama alivyofariki ilikuwa ngumu kuendesha biashara kwa sababu hamna aliejua business model vizuri wateja wakuu zile ins and outs zote mwisho wa siku biashara ilidorora.

Hitimisho kwa wazazi ni vyema kubadilisha namna mnazofanya biashara tuige wahindi na watu kutoka asia na kwa watoto tujitahidi tujifunze kulinda biashara za wazew wetu kama ulisomeshwa kwa kuuza mchicha boresha weka packaging utume organic mchicha Uingereza. Ni hayo tu.
 
Nipo Uturuki kwa muda mrefu sasa nimekuja kimasomo na kuangalia fursa nyingine pia.

Ila nimegundua kitu kimoja baada ya kufanya internship kwenye biashara ya kifamilia wenzetu kampuni zao za familia zinadumu kwa Generation na generation. Hii nliyopitia internship ni kampuni ina miaka 30 sasa na bado ipo.
Biashara zao zinadumu kwa sababu zifuatazo.
1. Wana mipango mizuri ya Urithi (succession plans) mtoto atafanya internship kwake ataanza, ataanza kuambiwa kuhusu umuhim wa biashara yao mapema labda akiwa high school atakuwa anatembea na baba yake kwenye deals mbalimbali na kuanza kuhusishwa kwenye network pia.


2. Asili ya mfumo wa kampuni ulivyo (bongo kampuni nyingi ni sole proprietorship) mfumo huu si rafiki kwa kutengeneza biashara itakayo kaa miaka na miaka biashara nyingi kwa sababu unakuwa hauna mshirika na biashara ikifa inakufa mazima ambazo zinadumu huwa zipo katika mfumo wa ushirika either kuna partner au investor mwingine atakaekusaidia kuikuza kampuni.
3. Usiri mwingi nlishuhudia familia bongo mama alivyofariki ilikuwa ngumu kuendesha biashara kwa sababu hamna aliejua business model vizuri wateja wakuu zile ins and outs zote mwisho wa siku biashara ilidorora.

Hitimisho kwa wazazi ni vyema kubadilisha namna mnazofanya biashara tuige wahindi na watu kutoka asia na kwa watoto tujitahidi tujifunze kulinda biashara za wazew wetu kama ulisomeshwa kwa kuuza mchicha boresha weka packaging utume organic mchicha Uingereza. Ni hayo tu.
Fursa za huko mkuu!
 
Kwa hilo waswahili mnafeli sana likiza suala la biashara za familia kwa sababu mna ubinafsi zaidi

Familia yangu ina biashara iliyoanzishwa na babu zetu ndugu watatu, na huku Baba akiwa na cousin zake
Biashara zimedumu huu ni mwaka wa 75 na vitukuu ndio wanaendesha kwa sasa maana hata sisi tumewaachia watoto

Tatizo lenu hamjiamini na wizi pia ushirikina mnauendekeza sana

Ukweli mswahili hapendi ila uongo anaupenda zaidi
Uaminifu ni zero kwa % kubwa sana awe ndugu au nani
Sielewi kwanini mtu ashindwe kuungana na ndugu kufanya la maana wakati wazungu ukimfanyia kazi miaka kadhaa anakuomba uingize hela upate share katika kampuni yake na hakujui
 
Kwa hilo waswahili mnafeli sana likiza suala la biashara za familia kwa sababu mna ubinafsi zaidi

Familia yangu ina biashara iliyoanzishwa na babu zetu ndugu watatu, na huku Baba akiwa na cousin zake
Biashara zimedumu huu ni mwaka wa 75 na vitukuu ndio wanaendesha kwa sasa maana hata sisi tumewaachia watoto

Tatizo lenu hamjiamini na wizi pia ushirikina mnauendekeza sana

Ukweli mswahili hapendi ila uongo anaupenda zaidi
Uaminifu ni zero kwa % kubwa sana awe ndugu au nani
Sielewi kwanini mtu ashindwe kuungana na ndugu kufanya la maana wakati wazungu ukimfanyia kazi miaka kadhaa anakuomba uingize hela upate share katika kampuni yake na hakujui
Thd iishie hapa.
 
Kwa hilo waswahili mnafeli sana likiza suala la biashara za familia kwa sababu mna ubinafsi zaidi

Familia yangu ina biashara iliyoanzishwa na babu zetu ndugu watatu, na huku Baba akiwa na cousin zake
Biashara zimedumu huu ni mwaka wa 75 na vitukuu ndio wanaendesha kwa sasa maana hata sisi tumewaachia watoto

Tatizo lenu hamjiamini na wizi pia ushirikina mnauendekeza sana

Ukweli mswahili hapendi ila uongo anaupenda zaidi
Uaminifu ni zero kwa % kubwa sana awe ndugu au nani
Sielewi kwanini mtu ashindwe kuungana na ndugu kufanya la maana wakati wazungu ukimfanyia kazi miaka kadhaa anakuomba uingize hela upate share katika kampuni yake na hakujui
upo sahihi sana naunga mkono hoja.
 
Si watu watu weusi wana laana, Hata uelezee sababu zipi as long as zinaoneaka kwa macho Basi sio Sababu haswa zenyewe hizo ni excuse tu.
Haiwezekani bara zima watu wawe Wavivu, Wanachuki, Sijui hawafundishi watoto biashara, Mara sijui hawapendani Miaka na Miaka inaenda sababu ni hizo hizo tu.
No huo ni uongo. The Great reason ni laana or curse ndani ya watu weusi
Mambo hayabadiriki yakawa marahisi na yenye furaha Mambo meng ni Tabu Tabu tuu yani kutapa tapa
UMUGHAKA
 
upo sahihi sana naunga mkono hoja.
Mimi naona uhasidi pia unachangia sana
Watu wana roho mbaya sana hata umsaidaje mswahili bado anakuona fala na mjinga
Unampa msaada na akikupatia chance hicho ulichonacho chote anataka kiwe chake

Ndio maana vijana hata kuoa wanaogopa maana hata wanawake wamekuwa zaidi ya wanaume
Sijui kama kutabadilika kitu kama Taifa
 
Mimi naona uhasidi pia unachangia sana
Watu wana roho mbaya sana hata umsaidaje mswahili bado anakuona fala na mjinga
Unampa msaada na akikupatia chance hicho ulichonacho chote anataka kiwe chake

Ndio maana vijana hata kuoa wanaogopa maana hata wanawake wamekuwa zaidi ya wanaume
Sijui kama kutabadilika kitu kama Taifa
kubadilika sidhani maana kila mtu anajali yake, inashangaza sana biashara ya pamoja mtu anajiangalia atakuaje yeye kama yeye na sio biashara.

Tamaa, ubinafsi na kukosa uaminifu vimeua na kuyumbisha biashara nyingi, watu wengi kwenye jamii zetu sio waaminifu kabisa.
 
kubadilika sidhani maana kila mtu anajali yake, inashangaza sana biashara ya pamoja mtu anajiangalia atakuaje yeye kama yeye na sio biashara.

Tamaa, ubinafsi na kukosa uaminifu vimeua na kuyumbisha biashara nyingi, watu wengi kwenye jamii zetu sio waaminifu kabisa.
Huwa nashindwa kuelewa kabisa kwanini watu wanakuwa hivyo
Lingine ni kuwa mtu anakuja kukukopa kitu au hela kabisa
Anakuwa mpole sana na kutoa ahadi kedekede

Jichanganye umpe tu, kwanza anaweza akakuona mjinga kwa kumsaidia maana siku aliyoahidi kurudisha huuoni na ukibahatika kumpata anakueleza matatizo mengine kama vile anataka msaada tena

Mtu anapewa biashara aisimamie baada ya mwezi unafanya Stock take unakuta mapungufu kibao

Yaani uaminifu hakuna kwa mswahili
Kuna majirani zetu ukimpa kazi anaisimamia kwa ufanisi sana halafu mswahili anaanza kulalamika eti kwanini umeajiri wa Kenya

Inauma sana
 
Fursa za huko mkuu!
Fursa zipo nyingi haswa kibiashara.

Nguo za watoto, kuuza ma abaya.
Vifaa vya ujenzi wanavifaa imara sana vya ujenzi wa nyumba, kama vile Tiles, mabomba.
Vifaa vya mapambo ya ndani kama mapazia.
Vyombo.
Furniture ndo usiseme.

Kwa swala la kufanya kazi utapata kazi ila za kutumia nguvu haswa kama hujui kituruki vizuri
 
Back
Top Bottom