Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

Kwa nini Biashara za ki Familia kwa waTanzania zinafeli.

Kwa hilo waswahili mnafeli sana likiza suala la biashara za familia kwa sababu mna ubinafsi zaidi

Familia yangu ina biashara iliyoanzishwa na babu zetu ndugu watatu, na huku Baba akiwa na cousin zake
Biashara zimedumu huu ni mwaka wa 75 na vitukuu ndio wanaendesha kwa sasa maana hata sisi tumewaachia watoto

Tatizo lenu hamjiamini na wizi pia ushirikina mnauendekeza sana

Ukweli mswahili hapendi ila uongo anaupenda zaidi
Uaminifu ni zero kwa % kubwa sana awe ndugu au nani
Sielewi kwanini mtu ashindwe kuungana na ndugu kufanya la maana wakati wazungu ukimfanyia kazi miaka kadhaa anakuomba uingize hela upate share katika kampuni yake na hakujui
Asee nna kitu cha kujifunza kutoka kwenu tuna biashara pia ya ujenzi na usafi nkimaliza masomo narudi kuisimamia
 
Si watu watu weusi wana laana, Hata uelezee sababu zipi as long as zinaoneaka kwa macho Basi sio Sababu haswa zenyewe hizo ni excuse tu.
Haiwezekani bara zima watu wawe Wavivu, Wanachuki, Sijui hawafundishi watoto biashara, Mara sijui hawapendani Miaka na Miaka inaenda sababu ni hizo hizo tu.
No huo ni uongo. The Great reason ni laana or curse ndani ya watu weusi
Mambo hayabadiriki yakawa marahisi na yenye furaha Mambo meng ni Tabu Tabu tuu yani kutapa tapa
UMUGHAKA
😂ninacheka ila ni jambo la kuhuzunisha na sababu yako ina mashiko pia kwa sababu si tatizo la tanzania tu
 
Uchoyo,ubinafsi kukosa maono ya muda ujao
 
Asee nna kitu cha kujifunza kutoka kwenu tuna biashara pia ya ujenzi na usafi nkimaliza masomo narudi kuisimamia
Hakikisha unaweka waaminifu tu
Hata ndugu mmoja akizingua muweke pembeni kwa maslaha ya biashara

Lazima ujue wanaoendelea walikuwa wanabana kila kona ili mtaji ukue

Biashara nyingi zinasaidia pia
Uwe na miradi unayoweza ku control
 
Yani ni yale mawazo ya "yani mim kupambana kote huku eti waje kufaidi wengine" mawazo ya ubinafsi yanatucost sana
 
Nipo Uturuki kwa muda mrefu sasa nimekuja kimasomo na kuangalia fursa nyingine pia.

Ila nimegundua kitu kimoja baada ya kufanya internship kwenye biashara ya kifamilia wenzetu kampuni zao za familia zinadumu kwa Generation na generation. Hii nliyopitia internship ni kampuni ina miaka 30 sasa na bado ipo.
Biashara zao zinadumu kwa sababu zifuatazo.
1. Wana mipango mizuri ya Urithi (succession plans) mtoto atafanya internship kwake ataanza, ataanza kuambiwa kuhusu umuhim wa biashara yao mapema labda akiwa high school atakuwa anatembea na baba yake kwenye deals mbalimbali na kuanza kuhusishwa kwenye network pia.


2. Asili ya mfumo wa kampuni ulivyo (bongo kampuni nyingi ni sole proprietorship) mfumo huu si rafiki kwa kutengeneza biashara itakayo kaa miaka na miaka biashara nyingi kwa sababu unakuwa hauna mshirika na biashara ikifa inakufa mazima ambazo zinadumu huwa zipo katika mfumo wa ushirika either kuna partner au investor mwingine atakaekusaidia kuikuza kampuni.
3. Usiri mwingi nlishuhudia familia bongo mama alivyofariki ilikuwa ngumu kuendesha biashara kwa sababu hamna aliejua business model vizuri wateja wakuu zile ins and outs zote mwisho wa siku biashara ilidorora.

Hitimisho kwa wazazi ni vyema kubadilisha namna mnazofanya biashara tuige wahindi na watu kutoka asia na kwa watoto tujitahidi tujifunze kulinda biashara za wazew wetu kama ulisomeshwa kwa kuuza mchicha boresha weka packaging utume organic mchicha Uingereza. Ni hayo tu.
Kwenye Internship yako umefanyia kaz PESTEL?
Lakini pia unajua ugumu wa kufanya biashara Africa mara nyingi ni namna nchi inavyoendesha mambo yake?

Vitu kama so many regulatory authority, tax policy na national investment policy.... Bomoa bomoa iliyopita kimara-Mbezi iliua biashara ngap?
 
Kuna issue watu hamsemi kuhusu ugumu wa biashara za kurithishana Africa, Africa wazee wetu wana watoto wengi sanaaa, plus extended family ya mawifi na wajomba na shangazi, baba ana kampuni yenye kuingiza 1B/ year ila ana watoto 10 kwa wake watatu, hao watoto wao mama zao automatic hawapatani, wanawajaza sumu watoto, bado siblings wa baba nao wanatamani mali unajikuta at the end kuendesha biashara kwa style hio ni ngumu, upinzani unakuwa mgumu mwisho inakufa, babake Mo ana watoto watatu tu, kina Asas wao walikuwa watatu pia inakuwa rahisi hata kuweka mgawanyo na kukuza kampuni
 
Ninyi waswaili wenzang ambao mume tu akiwa na utajiri na kumshirikisha mke mbinu zote basii kosa kubwa..mke atataka mume aage Dunia na mke Kwa kushirikiana na kaka zake ahamishie utajiri kwao ha ha ha...

Case study..Kuna mnyakyusa hapa kaoa mhaya ... biashara zimechanganya hapa mbeya ,,yule mke wa kihaya sijui katumia maarifa Gani mnyakyusa wa watu kaaga mechi😂😂😂 baada ya matanga hata mwenz haujapita nyumb ishapigwa bei na biashara zimehamishiwa bukoba ha ha haa..ndugu wa kinyaki walijaribu pambana zibaki mbeya wakafail..

Hvo wakuuu haya mamb wenzetu Asians na Arabs wanayaweza sabb kwanza wanaoana ndugu hvo hakuna hofu ya utajiri wao kutoka nje ya mifumo yao...asa ninyi mnaoana mtu wa kaskazin na WA kusini au wa Kanda ya ziwan na WA pwana oohh hapo lazima Kila mmoja avutie kwao..


Tukirud Kwa wachina aisee nimefanya nao kazi wao wanaoana kooo Moja nje ya koo hyo hawapeani hata Salam..yaan wote WAchina but sabb sio Koo Moja hata Salam hakuna..ww mbongo usiewajua utaona wote WAchina kumbe wanabaguana hatari...so sabb kuu ya kuweza kurisishana hzo business inaanza na hapo kwenye kuoana.. unaoana na nani..
 
Back
Top Bottom