Kwa nini Capitalism imeshindwa kuwatoa Kenya?

Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Hiyo itabaki historia soon cz ni ukweli usiopingika tulilala sn na ni aibu nchi hii kujilinganisha na Kenya aibu sn
 
Kila mtu apambane na hali yake
 
Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.
Heavy facts 💯👊
 
Nasikia hadi yule mkulima mzungu anaye kamata ndege zetu ana miliki mashamba kenya
Tatizo walikaririshwa wimbo ambao ilipokezwa mpaka kwa vijana wao.
Mizembe sana hawa, liinchi lote hilo yaani hadi uunganishe Uganda, Rwanda na Kenya ndio zitoshane na Tanzania halafu ina rotuba kila sehemu, full madini lakini maskini wa kutupwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchumi wetu ni mara mbili yenu halafu unaropokwa bila aibu eti Capitalism imefeli Kenya. Akili za kuku hizi.
Subiri mwakani.
Umesema uchiiumi au uchumi uchumi Kenya utoke wapi mnashindwa hata kujenga 1km ya sgr Kwa Pesa yenu hata hela ya kununua chakula hamna mnasubiri misahada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndiyo ushahidi kuwa Kenya ni Mali ya mabeberu Na familia ya Kenyatta ,kama GDP ya nai ni sawa Na ya tz vipi kuna slum kila kona 72% ya wakaazi wa naii wanapatikana Kwa slum were that GDP go
Sent using Jamii Forums mobile app
 
GDP ya kenya 75% siyo Mali ya wakenya
GDP ya tz 10% siyo Mali ya watz
GDP ya Nigeria 80% siyo mali ya wanigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kitu kinaitwa GDP mfano mzuri ni Nigeria GDP $400bil Ila ni nothing kimaisha sasa
75% ya GDP ya kenya siyo Mali ya wakenya
Nigeria 80% ya GDP siyo Mali yao
Na Tanzania ni only 10% ya GDP ndiyo siyo mali ya watz hivyo 90% ni Mali yetu ndiyo maana tunaweza kufanya miladi mingi Kwa Pesa yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
GDP ya kenya 75% siyo Mali ya wakenya
GDP ya tz 10% siyo Mali ya watz
GDP ya Nigeria 80% siyo mali ya wanigeria

Sent using Jamii Forums mobile app
Mali ya ule muarabu mliyemteka na kisha kumuachilia si tayari ni asimilia kumi ya mali iliyopo kwenye mikono ya wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…