komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
We levels zako ni post kutoka twitter, mada km hizi huziwezi...Kuna chuki gani hapo?
Kuambiwa ukweli ndio chuki?
Mkishindwa kujadili mada mnaanza kusema sijui mnachukiwa,
Ingependeza Sana ungejadili mada husika na sio kuingiza mambo yasiyohitajika.
Umeona wanvyojadili mada
Sent using Jamii Forums mobile app