Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hi doctors....
Hili swali huwa najiuliza nakosa jibu. Nilipokuwa mdogo (shule ya msingi na sekondari) fangasi nilikuwa nazisikia tu na kuzisoma kwenye vipeperushi....nimekuja kukutana na fangas nilipoingia chuo huku Dar. Nashidwa kuelewa kwa sababu kama ni suala la kushea vyoo na mabafu mbona tulikuwa tunashea tangu zamani? Tena life style ya sekondari ndo hatari zaidi(kwa wenzangu na mimi wa st. Kayumba) maana kama ni kushea vifaa vya kuogea mf.ndoo na sabuni hilo wala sio la kuuliza. Inaweza ikatokea kila siku unaogea ndoo tofauti na huna sababu ya kujiuliza ni ya nani......mlundikano wa maliwatoni ndio balaa kabisa......
Sasa iweje huku ambako kuna ustaarabu umeongezeka magonjwa ndo yanaibuka? Yan najikuta nalazimika kuwa extra careful wakati siku za nyuma nilikuwa naishi kawaida tu na hayakuwepo mambo kama haya.
Ni hali ya hewa?
Ni aina ya maji?
Ni mabadiliko ya kimwili?
Ni nini hasa? Maana hili jambo sio kwangu tu....wengi wanadai hivyo. Mwenye scientific explanation naomba anisaidie tafadhali...
Natanguliza shukrani....
Hili swali huwa najiuliza nakosa jibu. Nilipokuwa mdogo (shule ya msingi na sekondari) fangasi nilikuwa nazisikia tu na kuzisoma kwenye vipeperushi....nimekuja kukutana na fangas nilipoingia chuo huku Dar. Nashidwa kuelewa kwa sababu kama ni suala la kushea vyoo na mabafu mbona tulikuwa tunashea tangu zamani? Tena life style ya sekondari ndo hatari zaidi(kwa wenzangu na mimi wa st. Kayumba) maana kama ni kushea vifaa vya kuogea mf.ndoo na sabuni hilo wala sio la kuuliza. Inaweza ikatokea kila siku unaogea ndoo tofauti na huna sababu ya kujiuliza ni ya nani......mlundikano wa maliwatoni ndio balaa kabisa......
Sasa iweje huku ambako kuna ustaarabu umeongezeka magonjwa ndo yanaibuka? Yan najikuta nalazimika kuwa extra careful wakati siku za nyuma nilikuwa naishi kawaida tu na hayakuwepo mambo kama haya.
Ni hali ya hewa?
Ni aina ya maji?
Ni mabadiliko ya kimwili?
Ni nini hasa? Maana hili jambo sio kwangu tu....wengi wanadai hivyo. Mwenye scientific explanation naomba anisaidie tafadhali...
Natanguliza shukrani....