Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
wote lawama kwao maana ni wateule wake piaWasalaam wanaJf ,
Swali langu ni hilo !
Mbona hakuna uzi hata mmoja jamani hata kutajwa huyo waziri ?wote lawama kwao maana ni wateule wake pia
watanzania watakuwa hawamchukii sana kama walivyokuwa wanamchukia februaryMbona hakuna uzi hata mmoja jamani hata kutajwa huyo waziri ?
Humu ndani mambo mengi ni chuki kwa kweli .watanzania watakuwa hawamchukii sana kama walivyokuwa wanamchukia february
Hii ni kampeni maalumu ya kundi maalumu lililotumika kumhujumu Dkt Magufuli kwa kuaminisha anatuma watu watekwe na kuuawa. Dkt Samia alipoapa na kuw Rais, na yeye akashadadia kusema Dkt Magufuli alikuwa anateka na kuua watu kwa kauli yake ya viroba. Bila kujua kuwa ule ulikua mpango maalumu wa kuharibu taswira ya rais Dkt Magufuli basi Dkt Samia nayeye akawa kwenye kundi la wazushi na watu wakaamini kweli Dkt Magufuli kama rais alituma watu wauawe. Kama mamlaka ya Rais ilituhumiwa na Makamu wa Rais ambaye alikuja kuwa Rais, ni ngumu sana kuuaminisha umma wa Watanzania kwa sasa kuwa Dkt Samia ni msafi. Umma wa watanzania wanaamini ni hiyo hiyo mamlaka ya Rais ambayo Dkt Samia ndiye rais inaagizia watu wakamatwe na kuuawa na hivyo Dkt Samia ni Muuaji ana ratibh utekaji wa watu na kufa na sababu kubwa ni yeye kukiri kumsagia kunguni bosi wake Dkt Magufuli kuhusu watu kuuawa kwenye awamu ya 5. Ila ukweli ni kwamba haya matukio yamekuwapo enzi na enzi ila vyombo vya habari vinayakuza na kuandika mwelekeo wa kusema polisi, serikali etc, ila ukweli hata kwa Dkt Magufuli alisingiziwa mengi ndiyo maana mpaka sasa hata Dkt Samia anaumbuka na anazidi kuumbumbuka na kudhalilika kwa kauli zake za kumsagia kunguni Dkt Magufuli. Muda anao anaweza omba msahama.Wasalaam wanaJf ,
Sijaona uzi hata mmoja wa kumlaumu waziri husika wala kupewa masharti ya kujiuzulu kama ilivyokuwa kwa Makamba na Nape.
Swali langu ni hilo !
Nimekupata , ila swali mbona waziri hana heka heka sana hata za kukusolewa ..Nakumbuka waziri enzi za Magufuli alikuwa akipewa mashtka mpaka wakina kigogo walimuita muuaji .Hii ni kampeni maalumu ya kundi maalumu lililotumika kumhujumu Dkt Magufuli kwa kuaminisha anatuma watu watekwe na kuuawa. Dkt Samia alipoapa na kuw Rais, na yeye akashadadia kusema Dkt Magufuli alikuwa anateka na kuua watu kwa kauli yake ya viroba. Bila kujua kuwa ule ulikua mpango maalumu wa kuharibu taswira ya rais Dkt Magufuli basi Dkt Samia nayeye akawa kwenye kundi la wazushi na watu wakaamini kweli Dkt Magufuli kama rais alituma watu wauawe. Kama mamlaka ya Rais ilituhumiwa na Makamu wa Rais ambaye alikuja kuwa Rais, ni ngumu sana kuuaminisha umma wa Watanzania kwa sasa kuwa Dkt Samia ni msafi. Umma wa watanzania wanaamini ni hiyo hiyo mamlaka ya Rais ambayo Dkt Samia ndiye rais inaagizia watu wakamatwe na kuuawa na hivyo Dkt Samia ni Muuaji ana ratibh utekaji wa watu na kufa na sababu kubwa ni yeye kukiri kumsagia kunguni bosi wake Dkt Magufuli kuhusu watu kuuawa kwenye awamu ya 5. Ila ukweli ni kwamba haya matukio yamekuwapo enzi na enzi ila vyombo vya habari vinayakuza na kuandika mwelekeo wa kusema polisi, serikali etc, ila ukweli hata kwa Dkt Magufuli alisingiziwa mengi ndiyo maana mpaka sasa hata Dkt Samia anaumbuka na anazidi kuumbumbuka na kudhalilika kwa kauli zake za kumsagia kunguni Dkt Magufuli. Muda anao anaweza omba msahama.
Bosi hii ni karma. Yaani yeye Dkt Samia kama mamlaka ya makamu wa rais wa enzi zile alishuhudia kusema Mamlaka ya Rais awamu ya 5 ambayo yeye alikuwa Makamu ilihusika na kuteka na kuua unadhani leo hii wananchi watasema ni waziri???? Ni big No No, lazima wasema ni Dkt Samia. Ndiyo maana waziri hahusiki kabisaNimekupata , ila swali mbona waziri hana heka heka sana hata za kukusolewa ..Nakumbuka waziri enzi za Magufuli alikuwa akipewa mashtka mpaka wakina kigogo walimuita muuaji .
Raisi ndio mbebacmaono ya nchi!Wasalaam wanaJf ,
Sijaona uzi hata mmoja wa kumlaumu waziri husika wala kupewa masharti ya kujiuzulu kama ilivyokuwa kwa Makamba na Nape.
Swali langu ni hilo !
Na Kwa nini zisiende Kwa Wakuu wa vyombo? Polisi na Tiss?Wasalaam wanaJf ,
Sijaona uzi hata mmoja wa kumlaumu waziri husika wala kupewa masharti ya kujiuzulu kama ilivyokuwa kwa Makamba na Nape.
Swali langu ni hilo !
Tatizo hamna hoja endelevu , mnatembea na kick ya matukio .Raisi ndio mbebacmaono ya nchi!
Yaani hata mimi sielewi , nahisi wale jamaa walikuwa wanawapakazia kwa mlengo wa kisiasa ..Na Kwa nini zisiende Kwa Wakuu wa vyombo? Polisi na Tiss?
Siku yakikukuta katika circle yako uje kuandika hivi hivi na kuuliza haya maswali ya kijinga.Yaani hata mimi sielewi , nahisi wale jamaa walikuwa wanawapakazia kwa mlengo wa kisiasa ..
Katiba inasemaje kuhusu madaraka ya. RaisWasalaam wanaJf ,
Sijaona uzi hata mmoja wa kumlaumu waziri husika wala kupewa masharti ya kujiuzulu kama ilivyokuwa kwa Makamba na Nape.
Swali langu ni hilo !
Nina uhakika Nchi kama hii ya Cameron ukikohoa tuu vibaya ukawaudhi watawala Wasiojulikana wanakupoteza fasta.👇👇Yaani hata mimi sielewi , nahisi wale jamaa walikuwa wanawapakazia kwa mlengo wa kisiasa ..