Kwa nini JECCS construction anapendelewa sana tenda za ujenzi na serikali?

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
267
Reaction score
373
Hi huyu mwenye hii Kampuni ya Jeccs construction ni nani na nani yupo nyuma yake ?

Takukuru waichunguze maana anapendelewa sana na serikali na ana miradi zaidi ya 800 nchi nzima ya thamani zaidi ya trillioni 4 kwani hakuna kampuni zingine za wazawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…