Naomba link yenye habari zaidi kuhusu utorokaji ya huyu luteni kanali.
.Mkuu unaposema auto pilot bado unaipamba..yaani hii nchi ni kama mashua iliyokata kamba ufukweni..you know what i mean.Hali ni tete, nchi iko kwenye AUTO PILOT, BADO TUNA safari kurudi kwenye truck.
Bavicha mnamatatizo sana hayo ndiyo mawazo yenu kila kikicha yakichonganishi na kukata tamaa..Mkuu unaposema auto pilot bado unaipamba..yaani hii nchi ni kama mashua iliyokata kamba ufukweni..you know what i mean.
siku moja utajawaita wazazi wako bavicha.maana inaelekea hujui kama wewe ni mwanamke au mwanaume. sio kila achangiae jambo ni mpinzani.Bavicha mnamatatizo sana hayo ndiyo mawazo yenu kila kikicha yakichonganishi na kukata tamaa.
Bavicha mnamatatizo sana hayo ndiyo mawazo yenu kila kikicha yakichonganishi na kukata tamaa.
Hapa juzi tumesikia kuwa yule lutenkanali aliyetoroka apasua vichwa ndani ya JWTZ,
Lakini kutokana na maelezo ya Meja Komba ambaye ni msemaji wa JWTZ aliwahakikishia watanzania kuwa huyo lutenkanali hakuondoka na nyaraka zozote za msingi kutokana na wadhifa aliokuwa nao, lakini tunaambiwa serikali inawasiwasi! je nini wasiwasi wa serikali kama mtu mwenyewe hakuwa katika kitengo muhimu??
My take; Jamaa atakuwa alikuwa na data muhimu za kijeshi na ushauri wangu ni jeshi wabadilishe system yao.
Haingii akilini eti mtu walimkamata afu atoroke under military custody. Ila ndo jibu pekee ambalo jeshi wanaweza kulitoa ili kuepukana na usumbufu toka kwa mkewe na watoto especially if the subject has been permanently silenced..
Hapa juzi tumesikia kuwa yule lutenkanali aliyetoroka apasua vichwa ndani ya JWTZ,
Lakini kutokana na maelezo ya Meja Komba ambaye ni msemaji wa JWTZ aliwahakikishia watanzania kuwa huyo lutenkanali hakuondoka na nyaraka zozote za msingi kutokana na wadhifa aliokuwa nao, lakini tunaambiwa serikali inawasiwasi! je nini wasiwasi wa serikali kama mtu mwenyewe hakuwa katika kitengo muhimu??
My take; Jamaa atakuwa alikuwa na data muhimu za kijeshi na ushauri wangu ni jeshi wabadilishe system yao.
Wewe utakuwa umeachika kwa mwanaume mmojawapo ndani ya BAVICHA, si bure na inawezekana kakuacha na ujauzito. Haiwezekani kila post lazima uitaje BAVICHA.
Ushauri:
Uwe unatembea na ndimu mfukoni zinasaidia kupunguza kichefuchefu.
Hapa juzi tumesikia kuwa yule lutenkanali aliyetoroka apasua vichwa ndani ya JWTZ,
Lakini kutokana na maelezo ya Meja Komba ambaye ni msemaji wa JWTZ aliwahakikishia watanzania kuwa huyo lutenkanali hakuondoka na nyaraka zozote za msingi kutokana na wadhifa aliokuwa nao, lakini tunaambiwa serikali inawasiwasi! je nini wasiwasi wa serikali kama mtu mwenyewe hakuwa katika kitengo muhimu??
My take; Jamaa atakuwa alikuwa na data muhimu za kijeshi na ushauri wangu ni jeshi wabadilishe system yao.
acha uvivu mkuu hembu fukua fukua utaipata hum hum ndani?mm kuweka link siwezi ningekuwa na weza ningekuwekea au tupeane kazi basi ww nifundishe kuweka link mm nitakuwekea hiyo link unayoitaka
Sasa wewe nyerere mbona wewe ni mtusi??Au unajifanya hatukuoni na wewe unatakiwa uje huku niliko Kigali!Baada ya m23 yenu kuchakazwa na wahamiaji haramu kutimuliwa mmemmua kuja kwa staili hii? Unaandika ukiwa Kigali au mji gani? Pole sana JW kiboko yenu.
Sasa wewe nyerere mbona wewe ni mtusi??Au unajifanya hatukuoni na wewe unatakiwa uje huku niliko Kigali!