Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wakuu hili swali nauliza kwa wema kabisa.
Kuna kiwango kukubwa cha wagonjwa wa Cancer kwa upande wa kando kando ya Ziwa Victoria kuliko maeneo mengine nchini.
Mtakumbuka hata Mama Samia alieleza nia ya Serikali kujenga kituo kikubwa Mwanza chenye kutoa matibabu ya Cancer
Sasa najiuliza:
1. Kwa nini kanda hii inaandamwa sana na Cancer?
2. Kitu gani wananchi wafanye kujiepusha na cancer.
3. Je Serikali ifanye nini kupunguza tatizo la cancer nchini na hasa kwa kanda ya Ziwa?
Nawakaribisha wenye mawazo na nia njema na wenye kuguswa na hili tatizo tupeane mawazo wakuu ili kupunguza hili tatizo
Kuna kiwango kukubwa cha wagonjwa wa Cancer kwa upande wa kando kando ya Ziwa Victoria kuliko maeneo mengine nchini.
Mtakumbuka hata Mama Samia alieleza nia ya Serikali kujenga kituo kikubwa Mwanza chenye kutoa matibabu ya Cancer
Sasa najiuliza:
1. Kwa nini kanda hii inaandamwa sana na Cancer?
2. Kitu gani wananchi wafanye kujiepusha na cancer.
3. Je Serikali ifanye nini kupunguza tatizo la cancer nchini na hasa kwa kanda ya Ziwa?
Nawakaribisha wenye mawazo na nia njema na wenye kuguswa na hili tatizo tupeane mawazo wakuu ili kupunguza hili tatizo