Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Wakuu kama mnakumbuka vizuri mwaka 1984 kulikua na vuguvugu kubwa sana la Kenya kuivamia kijeshi Tanzania.
Sababu kubwa ilikua ni mnyukano wa kugombea mali za JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI iliyovunjika mwaka 1978. Za kiintelijensia zinadai Kenya ilitaka kucheza rafu kubwa mno kwa kuchukua assets zote muhimu kitu ambacho mwalimu alipambana nacho mno.
Inadaiwa kuwa kuna baadhi ya mali kama meli na ndege kubwa kubwa ziliibwa na kufichwa Kenya, ikabidi Mwalimu atume vijana maalumu wa TISS ya wakati huo wakafanya yao, na baadhi ya mali zikatoroshwa kurudi Tanzania ikiwamo meli maarufu ya MV Victoria kitu ambacho wakenya kiliwaach midomo wazi.
Wakenya kwa kuwa na uchu wa mali hawakuwa na option zaidi ya kutaka kuivamia kijeshi Tanzania, na kama mnakumbuka mwaka 1984 Tanzania ilikua iko tayari tayari kwa vita nyingine na vuguvugu lilikua hot sana.
Ni nini kilipelekea Kenya wakaahirisha mkakati wao wa kuivamia Tanzania??
Walimwogopa Mwalimu ambaye alikua tayari kwa lolote pindi maslahi ya nchi yake yanapoguswa ikibidi hata kuingia vitani?
Sababu kubwa ilikua ni mnyukano wa kugombea mali za JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI iliyovunjika mwaka 1978. Za kiintelijensia zinadai Kenya ilitaka kucheza rafu kubwa mno kwa kuchukua assets zote muhimu kitu ambacho mwalimu alipambana nacho mno.
Inadaiwa kuwa kuna baadhi ya mali kama meli na ndege kubwa kubwa ziliibwa na kufichwa Kenya, ikabidi Mwalimu atume vijana maalumu wa TISS ya wakati huo wakafanya yao, na baadhi ya mali zikatoroshwa kurudi Tanzania ikiwamo meli maarufu ya MV Victoria kitu ambacho wakenya kiliwaach midomo wazi.
Wakenya kwa kuwa na uchu wa mali hawakuwa na option zaidi ya kutaka kuivamia kijeshi Tanzania, na kama mnakumbuka mwaka 1984 Tanzania ilikua iko tayari tayari kwa vita nyingine na vuguvugu lilikua hot sana.
Ni nini kilipelekea Kenya wakaahirisha mkakati wao wa kuivamia Tanzania??
Walimwogopa Mwalimu ambaye alikua tayari kwa lolote pindi maslahi ya nchi yake yanapoguswa ikibidi hata kuingia vitani?