Hujaelewa swali au tuite mada kuu.Ila wao na sisi wa TZ kupi kuna afadhari..
Swali zuri sana.vipi kuhusu Swaziland mbona wamezungukwa na South Africa nchi iliyoendelea zaidi Africa na wao ni maskini wa kutupwa
Hujajibu swali...Mada za kihivi huwa unazianzisha, ukijibiwa unatoweka halafu baada ya miezi michache unaibuka tena na swali lile lile, na ndio unaona Wakenya hawahangaiki kukujibu maana ushajibiwa mara nyingi tu.
Inafaa ikuingie kwamba mfumo wa nchi sio sababu pekee ambayo inawezesha nchi kuboreka kiuchumi, cha msingi na muhimu ni uwezo wa wananchi wa nchi husika kujituma. Afrika hii, hata majirani zenu wote akina Zambia, Malawi n.k. wote walikumbatia ubepari, lakini bado mnaorodheshwa pamoja kama mataifa maskini wa kutupwa dunia hii.
Ukiangalia hata Uganda ambayo haina eneo kame kama ilivyo Kenya, pia mpo kwenye kundi moja. Nchi yetu ni mfano wa kuigwa, maana nusu yake ni kame tupu, jangwa lakini hatupo nanyi kwenye kundi la maskini. Nyie kilichowaponza, ni kwamba hamkuuelewa mfumo wa communism, ilikua ni kazi ya mtu mmoja tu Nyerere ambaye hakutaka kushauriwa, mkaishia kuwa wavivu na wazembe hadi liinchi likubwa, yaani muungano wa nchi mbili zenye kila aina ya raslimali lakini maskini hadi noma.
Siri ya Kenya ni kujituma, huwa tunajituma kwa kwenda mbele, ni kweli hatuwezi kujilinganisha na Japan, wapo mbele yetu, ila inafaa uelewe wale walianza mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) mwaka wa 1870 wakati huku tukiwa gizani. Na mataifa yote yaliyowazunguka walipata huo mwanga, lakini sisi huku tumezungukwa na mivivu.
Sawa nilidhaniMi sio mkenya mkuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] naona unani adress kama mkenya
Mnakoelekea u Kenya mtaukana na kujiita wa TanzaniaWewe ni mkenya mwenzetu bana. Acha kupanick. Kaa kinyang'au nyang'au! 😀
Kenya si inchi ndogoHivi Kenya ni kanchi kadogo kuliko Singapore, Uswiz au hata Japan eeh,,au unaongelea udogo kiuchumi ?,anyway naona mmeanza kutafuta tundu la kutokea.!
Sisi hatuna njaa ila hatupo huru wa Kenya wana njaa ila wapo huru ndio tofauti yetuIla wao na sisi wa TZ kupi kuna afadhari..
vipi kuhusu Swaziland mbona wamezungukwa na South Africa nchi iliyoendelea zaidi Africa na wao ni maskini wa kutupwa
Kenya imesimama tofauti yetu na nyie ni kuwa sisi hatuna njaa ila hatupo huru nyie mna njaa ila mpo huruKenya,Kenya,Kenya! Haka kanchi kweli ni mwiba kwa wengi! Mada nzima na utafiti ambatanishi kufuatilia michango humu yaonyesha Watanzania mmemakinika na chochote cha Kenya na maslahi yake! Endeleeni vivyo hivo huku Wakenya wakijenga nchi yao.
Na hebu mleta mada,Take-off kwako wewe ni nini? Kama Mkenya,mimi najua Kenya ili take-off kitambo na inaelekea upeo wa juu hata zaidi!
Nijuavyo pia, mioyoni mwenu mngependa Kenya
isambaratike na kuLand-crash!
Wacheni unafiki!
Kenya ina masikini wengi wa kutupwa tatizo ni watu (matajiri) wa chache wanaoshikilia uchumi wa inchi ila sisi Tanzania tunaimarika kwa mtu mmoja mmoja tukiwa na Sera ya kuthamini na kuendeleza wafanya biashara wazawa miaka 3 tutawaacha mbali.Mada za kihivi huwa unazianzisha, ukijibiwa unatoweka halafu baada ya miezi michache unaibuka tena na swali lile lile, na ndio unaona Wakenya hawahangaiki kukujibu maana ushajibiwa mara nyingi tu.
Inafaa ikuingie kwamba mfumo wa nchi sio sababu pekee ambayo inawezesha nchi kuboreka kiuchumi, cha msingi na muhimu ni uwezo wa wananchi wa nchi husika kujituma. Afrika hii, hata majirani zenu wote akina Zambia, Malawi n.k. wote walikumbatia ubepari, lakini bado mnaorodheshwa pamoja kama mataifa maskini wa kutupwa dunia hii.
Ukiangalia hata Uganda ambayo haina eneo kame kama ilivyo Kenya, pia mpo kwenye kundi moja. Nchi yetu ni mfano wa kuigwa, maana nusu yake ni kame tupu, jangwa lakini hatupo nanyi kwenye kundi la maskini. Nyie kilichowaponza, ni kwamba hamkuuelewa mfumo wa communism, ilikua ni kazi ya mtu mmoja tu Nyerere ambaye hakutaka kushauriwa, mkaishia kuwa wavivu na wazembe hadi liinchi likubwa, yaani muungano wa nchi mbili zenye kila aina ya raslimali lakini maskini hadi noma.
Siri ya Kenya ni kujituma, huwa tunajituma kwa kwenda mbele, ni kweli hatuwezi kujilinganisha na Japan, wapo mbele yetu, ila inafaa uelewe wale walianza mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) mwaka wa 1870 wakati huku tukiwa gizani. Na mataifa yote yaliyowazunguka walipata huo mwanga, lakini sisi huku tumezungukwa na mivivu.
Wanaendelea kuwa masikini wakutupwa tatizo uchumi wao umeshikiriwa na matajiri wachache wanaoamua kwa maslahi yao lakini wanainchi wa Kenya ni masikini wa kutupwa naamini miaka 5 ijayo tutawaacha mbali Kenya.Mimi kila siku huwa nasema haya, nilipokuwa mdogo miaka ya 90's mama yangu alikuwa akienda kununua mahitaji ya nyumbani, yaani Chumvi, sabuni, sukari, vipodozi, Mafuta ya kula n.k karibu vyote vilikuwa 'Made In Kenya'
And my question is what was that export value meant to Kenya? Kwa ile nafasi mliyokuwa nayo nadhani Leo 2018 mlitakiwa muwe kama South Korea,
What happened to you guys? Leo 2018 maelfu kwa Maelfu wanakufa kwa njaa, juzi hapa tumeshuhudia kwa Mara ya kwanza baadhi ya counties zenu zinaona Lami for the first time, ufukara wa kufa mtu,
What happened to you?
Tatizo ni uchumi kuwa chini ya matajiri wachache wanao amua kwa maslahi yao huku wanazaliana masikini wanaozidisha mzigo na ghalama kwa serikaliNdo hoja yangu ilipo, ni kwa nini Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zime-practice capitalism kwa zaidi ya miaka 50 zimeshindwa ku-takeoff ukilinganisha na nchi za Mabara mengine? Kwanza nafikiri ukiondoa AK sidhani kama kuna nchi nyingine ya Kiafrika ambayo imekuwa na pure capitalism na stability kama Kenya, nchi kama Uganda wamekuwa na coup detat nyingi nafikiri Uganda wamekuwa na Maraisi zaidi ya 6, lkn Kenya haijakuwa na shida yoyote, no civil war, no sanctions, Kenya imekuwa ikitrade freely kila mahali hata Ethiopia walikuwa na socialism enzi za akina Mengistu Haile Mariam, lkn leo hii wako vizuri kidogo, sasa kwa nini ndiyo swali langu!
Africa kuna shida ya uzalendo aliyepata hataki wengine wapate anataka wote wamutumikie umasikini hautokwisha mpaka pale kitakapozaliwa kizazi cha kizalendovipi kuhusu Swaziland mbona wamezungukwa na South Africa nchi iliyoendelea zaidi Africa na wao ni maskini wa kutupwa
Ndo hoja yangu ilipo, ni kwa nini Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zime-practice capitalism kwa zaidi ya miaka 50 zimeshindwa ku-takeoff ukilinganisha na nchi za Mabara mengine? Kwanza nafikiri ukiondoa AK sidhani kama kuna nchi nyingine ya Kiafrika ambayo imekuwa na pure capitalism na stability kama Kenya, nchi kama Uganda wamekuwa na coup detat nyingi nafikiri Uganda wamekuwa na Maraisi zaidi ya 6, lkn Kenya haijakuwa na shida yoyote, no civil war, no sanctions, Kenya imekuwa ikitrade freely kila mahali hata Ethiopia walikuwa na socialism enzi za akina Mengistu Haile Mariam, lkn leo hii wako vizuri kidogo, sasa kwa nini ndiyo swali langu!
Nani kakudanganya Swaziland ni maskini wa Kutupwa? Hivi unaelewa GDP per capita ya Swaziland ni mara tatu ya Tanzania?
Kitu kingine unafaa kukielewa, Kenya ilikua chini ya utawala wa chama kimoja dhalimu kama CCM ilivyo kwa Tanzania, ni baada ya kukiondoa madarakani ndio Kenya ika-take off at turbo speed, leo hii ukanda wote huu mataifa yote yapo nyuma yetu.
Lkn ni
Hiyo sidhani kama ni sababu kwani hata AK imeongozwa na Chama kimoja miaka yote mpaka mwisho wa apartheid na ndiyo kilichojenga Uchumi wa AK, Taiwani, Korea Kusini na hata Japani hawajawahi kubadilisha Chama, kwanza Japani inaongozwa na Chama kimoja tangu mwaka 1945, mpaka leo hii, Korea ilijengwa na military dictatorship chini ya Park, hivyo hiyo haiwezi kuwa ni sababu!
Nimesema chama dhalimu kama ilivyo CCM huko kwenu, mkiwa na chama kimoja tangu uhuru halafu chenye kudhalimu watu wake na kuendekeza ufisadi, mtakwama sana. Nakumbuka kipindi cha Moi ilifikia hadi tukapigwa economic sanction na Ulaya.
Sisi tumeweza ku-take off baada ya kukiondoa hicho chama na uongozi wake. Labda na nyie mtaokoka siku mtathubutu, lakini kwa jinsi CCM imekita mizizi, hamtoweza, muendelee kubaki nyuma yetu.
OK , kama hiyo ndiyo sababu ya Kenya kushindwa, lkn Mada yangu haihusu TZ vs Kenya!