Kwa nini Kenya imeshindwa ku take- off hata baada ya miaka 50 ya Capitalism?

Kwa nini Kenya imeshindwa ku take- off hata baada ya miaka 50 ya Capitalism?

Ila wao na sisi wa TZ kupi kuna afadhari..
Hujaelewa swali au tuite mada kuu.
Rudia kusoma utaliewa swali la msingi.

Tanzania haikufuata njia ya ubepari kwa miaka yote.

Na mleta mada hajasema Tanzania ipo juu kimaendeleo/kiuchumi kuliko Kenya. In fact amesema Kenya bado inahangaika na matitizo yale yale yanayowakabili nchi wajamaa kama Tanzania wakati wao walifuata ubepari njia inayo aminika ni sahihi ktk kuimarisha uchumi na maisha bora ya wananchi ktk nchi husika.
 
Mada za kihivi huwa unazianzisha, ukijibiwa unatoweka halafu baada ya miezi michache unaibuka tena na swali lile lile, na ndio unaona Wakenya hawahangaiki kukujibu maana ushajibiwa mara nyingi tu.

Inafaa ikuingie kwamba mfumo wa nchi sio sababu pekee ambayo inawezesha nchi kuboreka kiuchumi, cha msingi na muhimu ni uwezo wa wananchi wa nchi husika kujituma. Afrika hii, hata majirani zenu wote akina Zambia, Malawi n.k. wote walikumbatia ubepari, lakini bado mnaorodheshwa pamoja kama mataifa maskini wa kutupwa dunia hii.

Ukiangalia hata Uganda ambayo haina eneo kame kama ilivyo Kenya, pia mpo kwenye kundi moja. Nchi yetu ni mfano wa kuigwa, maana nusu yake ni kame tupu, jangwa lakini hatupo nanyi kwenye kundi la maskini. Nyie kilichowaponza, ni kwamba hamkuuelewa mfumo wa communism, ilikua ni kazi ya mtu mmoja tu Nyerere ambaye hakutaka kushauriwa, mkaishia kuwa wavivu na wazembe hadi liinchi likubwa, yaani muungano wa nchi mbili zenye kila aina ya raslimali lakini maskini hadi noma.

Siri ya Kenya ni kujituma, huwa tunajituma kwa kwenda mbele, ni kweli hatuwezi kujilinganisha na Japan, wapo mbele yetu, ila inafaa uelewe wale walianza mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) mwaka wa 1870 wakati huku tukiwa gizani. Na mataifa yote yaliyowazunguka walipata huo mwanga, lakini sisi huku tumezungukwa na mivivu.
Hujajibu swali...

Zaidi umeanza kulinganisha tuu uganda na tz pamoja na kujisifia...

Mjibuni mleta mada, kenya hamkupata vikwazo vyovyote vya uchumi nje na ndani ya bara la afrika, hamkupata vita kama Uganda na Tz, ndani ya miaka 50 mlikuwa mnateleza tuu kwa kufanya shughuli za kiuchumi wakati majirani zenu Rwanda wakichichanjana, Uganda na Tz wakipigana pamoja na vikwazo vingi..

Kwanini sasa hali yenu haipishani sana na hawa wengine ambao walikumbwa na matatizo kibao?
 
Hivi Kenya ni kanchi kadogo kuliko Singapore, Uswiz au hata Japan eeh,,au unaongelea udogo kiuchumi ?,anyway naona mmeanza kutafuta tundu la kutokea.!
Kenya si inchi ndogo
 
vipi kuhusu Swaziland mbona wamezungukwa na South Africa nchi iliyoendelea zaidi Africa na wao ni maskini wa kutupwa

Nani kakudanganya Swaziland ni maskini wa Kutupwa? Hivi unaelewa GDP per capita ya Swaziland ni mara tatu ya Tanzania?
 
Kenya,Kenya,Kenya! Haka kanchi kweli ni mwiba kwa wengi! Mada nzima na utafiti ambatanishi kufuatilia michango humu yaonyesha Watanzania mmemakinika na chochote cha Kenya na maslahi yake! Endeleeni vivyo hivo huku Wakenya wakijenga nchi yao.

Na hebu mleta mada,Take-off kwako wewe ni nini? Kama Mkenya,mimi najua Kenya ili take-off kitambo na inaelekea upeo wa juu hata zaidi!
Nijuavyo pia, mioyoni mwenu mngependa Kenya
isambaratike na kuLand-crash!

Wacheni unafiki!
Kenya imesimama tofauti yetu na nyie ni kuwa sisi hatuna njaa ila hatupo huru nyie mna njaa ila mpo huru
 
Mada za kihivi huwa unazianzisha, ukijibiwa unatoweka halafu baada ya miezi michache unaibuka tena na swali lile lile, na ndio unaona Wakenya hawahangaiki kukujibu maana ushajibiwa mara nyingi tu.

Inafaa ikuingie kwamba mfumo wa nchi sio sababu pekee ambayo inawezesha nchi kuboreka kiuchumi, cha msingi na muhimu ni uwezo wa wananchi wa nchi husika kujituma. Afrika hii, hata majirani zenu wote akina Zambia, Malawi n.k. wote walikumbatia ubepari, lakini bado mnaorodheshwa pamoja kama mataifa maskini wa kutupwa dunia hii.

Ukiangalia hata Uganda ambayo haina eneo kame kama ilivyo Kenya, pia mpo kwenye kundi moja. Nchi yetu ni mfano wa kuigwa, maana nusu yake ni kame tupu, jangwa lakini hatupo nanyi kwenye kundi la maskini. Nyie kilichowaponza, ni kwamba hamkuuelewa mfumo wa communism, ilikua ni kazi ya mtu mmoja tu Nyerere ambaye hakutaka kushauriwa, mkaishia kuwa wavivu na wazembe hadi liinchi likubwa, yaani muungano wa nchi mbili zenye kila aina ya raslimali lakini maskini hadi noma.

Siri ya Kenya ni kujituma, huwa tunajituma kwa kwenda mbele, ni kweli hatuwezi kujilinganisha na Japan, wapo mbele yetu, ila inafaa uelewe wale walianza mapinduzi ya viwanda (industrial revolution) mwaka wa 1870 wakati huku tukiwa gizani. Na mataifa yote yaliyowazunguka walipata huo mwanga, lakini sisi huku tumezungukwa na mivivu.
Kenya ina masikini wengi wa kutupwa tatizo ni watu (matajiri) wa chache wanaoshikilia uchumi wa inchi ila sisi Tanzania tunaimarika kwa mtu mmoja mmoja tukiwa na Sera ya kuthamini na kuendeleza wafanya biashara wazawa miaka 3 tutawaacha mbali.
 
Mimi kila siku huwa nasema haya, nilipokuwa mdogo miaka ya 90's mama yangu alikuwa akienda kununua mahitaji ya nyumbani, yaani Chumvi, sabuni, sukari, vipodozi, Mafuta ya kula n.k karibu vyote vilikuwa 'Made In Kenya'
And my question is what was that export value meant to Kenya? Kwa ile nafasi mliyokuwa nayo nadhani Leo 2018 mlitakiwa muwe kama South Korea,
What happened to you guys? Leo 2018 maelfu kwa Maelfu wanakufa kwa njaa, juzi hapa tumeshuhudia kwa Mara ya kwanza baadhi ya counties zenu zinaona Lami for the first time, ufukara wa kufa mtu,
What happened to you?
Wanaendelea kuwa masikini wakutupwa tatizo uchumi wao umeshikiriwa na matajiri wachache wanaoamua kwa maslahi yao lakini wanainchi wa Kenya ni masikini wa kutupwa naamini miaka 5 ijayo tutawaacha mbali Kenya.
 
Ndo hoja yangu ilipo, ni kwa nini Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zime-practice capitalism kwa zaidi ya miaka 50 zimeshindwa ku-takeoff ukilinganisha na nchi za Mabara mengine? Kwanza nafikiri ukiondoa AK sidhani kama kuna nchi nyingine ya Kiafrika ambayo imekuwa na pure capitalism na stability kama Kenya, nchi kama Uganda wamekuwa na coup detat nyingi nafikiri Uganda wamekuwa na Maraisi zaidi ya 6, lkn Kenya haijakuwa na shida yoyote, no civil war, no sanctions, Kenya imekuwa ikitrade freely kila mahali hata Ethiopia walikuwa na socialism enzi za akina Mengistu Haile Mariam, lkn leo hii wako vizuri kidogo, sasa kwa nini ndiyo swali langu!
Tatizo ni uchumi kuwa chini ya matajiri wachache wanao amua kwa maslahi yao huku wanazaliana masikini wanaozidisha mzigo na ghalama kwa serikali
 
vipi kuhusu Swaziland mbona wamezungukwa na South Africa nchi iliyoendelea zaidi Africa na wao ni maskini wa kutupwa
Africa kuna shida ya uzalendo aliyepata hataki wengine wapate anataka wote wamutumikie umasikini hautokwisha mpaka pale kitakapozaliwa kizazi cha kizalendo
 
Ndo hoja yangu ilipo, ni kwa nini Kenya na nchi nyingine za Kiafrika ambazo zime-practice capitalism kwa zaidi ya miaka 50 zimeshindwa ku-takeoff ukilinganisha na nchi za Mabara mengine? Kwanza nafikiri ukiondoa AK sidhani kama kuna nchi nyingine ya Kiafrika ambayo imekuwa na pure capitalism na stability kama Kenya, nchi kama Uganda wamekuwa na coup detat nyingi nafikiri Uganda wamekuwa na Maraisi zaidi ya 6, lkn Kenya haijakuwa na shida yoyote, no civil war, no sanctions, Kenya imekuwa ikitrade freely kila mahali hata Ethiopia walikuwa na socialism enzi za akina Mengistu Haile Mariam, lkn leo hii wako vizuri kidogo, sasa kwa nini ndiyo swali langu!

Kitu kingine unafaa kukielewa, Kenya ilikua chini ya utawala wa chama kimoja dhalimu kama CCM ilivyo kwa Tanzania, ni baada ya kukiondoa madarakani ndio Kenya ika-take off at turbo speed, leo hii ukanda wote huu mataifa yote yapo nyuma yetu.
 
Nani kakudanganya Swaziland ni maskini wa Kutupwa? Hivi unaelewa GDP per capita ya Swaziland ni mara tatu ya Tanzania?


Lkn ni
Kitu kingine unafaa kukielewa, Kenya ilikua chini ya utawala wa chama kimoja dhalimu kama CCM ilivyo kwa Tanzania, ni baada ya kukiondoa madarakani ndio Kenya ika-take off at turbo speed, leo hii ukanda wote huu mataifa yote yapo nyuma yetu.


Hiyo sidhani kama ni sababu kwani hata AK imeongozwa na Chama kimoja miaka yote mpaka mwisho wa apartheid na ndiyo kilichojenga Uchumi wa AK, Taiwani, Korea Kusini na hata Japani hawajawahi kubadilisha Chama, kwanza Japani inaongozwa na Chama kimoja tangu mwaka 1945, mpaka leo hii, Korea ilijengwa na military dictatorship chini ya Park, hivyo hiyo haiwezi kuwa ni sababu!
 
Lkn ni



Hiyo sidhani kama ni sababu kwani hata AK imeongozwa na Chama kimoja miaka yote mpaka mwisho wa apartheid na ndiyo kilichojenga Uchumi wa AK, Taiwani, Korea Kusini na hata Japani hawajawahi kubadilisha Chama, kwanza Japani inaongozwa na Chama kimoja tangu mwaka 1945, mpaka leo hii, Korea ilijengwa na military dictatorship chini ya Park, hivyo hiyo haiwezi kuwa ni sababu!

Nimesema chama dhalimu kama ilivyo CCM huko kwenu, mkiwa na chama kimoja tangu uhuru halafu chenye kudhalimu watu wake na kuendekeza ufisadi, mtakwama sana. Nakumbuka kipindi cha Moi ilifikia hadi tukapigwa economic sanction na Ulaya.
Sisi tumeweza ku-take off baada ya kukiondoa hicho chama na uongozi wake. Labda na nyie mtaokoka siku mtathubutu, lakini kwa jinsi CCM imekita mizizi, hamtoweza, muendelee kubaki nyuma yetu.
 
Nimesema chama dhalimu kama ilivyo CCM huko kwenu, mkiwa na chama kimoja tangu uhuru halafu chenye kudhalimu watu wake na kuendekeza ufisadi, mtakwama sana. Nakumbuka kipindi cha Moi ilifikia hadi tukapigwa economic sanction na Ulaya.
Sisi tumeweza ku-take off baada ya kukiondoa hicho chama na uongozi wake. Labda na nyie mtaokoka siku mtathubutu, lakini kwa jinsi CCM imekita mizizi, hamtoweza, muendelee kubaki nyuma yetu.


OK , kama hiyo ndiyo sababu ya Kenya kushindwa, lkn Mada yangu haihusu TZ vs Kenya!
 
OK , kama hiyo ndiyo sababu ya Kenya kushindwa, lkn Mada yangu haihusu TZ vs Kenya!

Hamna sehemu nimesema Kenya imeshindwa, nimesema tulicheleweshwa na CCM ya Kikenya kama mnavyocheleweshwa na CCM yenu.
Tulipoitoa madarakani, Kenya ilipaa sana tangu enzi za rais Kibaki.
 
Back
Top Bottom