Kwa nini kila mwanamke mweupe anaitwa binti mzuri mrembo lakini si kila mweusi anaitwa mzuri

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Kuna jambo nimeona niulize,kwa nini mabinti wengi weupe,wanaume wanawaita wazuri,warembo lakini wanawake weusi ni wachache sana kuitwa wazuri,weusi wazuri tena wanaitwa black beauty.

Kuna rafiki yangu alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha wakampiga majungu eti mweusi sana ,ukiwa mweusi sana ata unaitwa majina mengi kama cheusi mangala nakadhalika.

Kitaa ukiwa na msichana mweupe ata atapata sana usumbufu wa kutongozwa nyie wenyewe mnajionea na watakuja kutoa ushahidi,ata mademu wengi weupe si waaminifu,wanapata sana usumbufu ata wanawake wengi wameamua sasa kujikoboa kuhimili ushindani.

Je ni vigezo gani vinatumika mwanamke mweupe kuitwa mzuri.
 
ueupe si kigezo cha uzuri kwa mwanamke...ila mwonekano na sura najinsi alivyoumbika kwaujumla ndo kigezo mdau..
 
Si kweli unachosema!Kwa hiyo kila MZUNGU demu anaitwa mzuri?

Mtaani kwetu kuna msichana anaitwa Lizzy mweupeeeee lkn mbaya kweli kweli na wote hapa tunajua ni mbaya

mi nazungumzia ukweli uliopo mtaani wanawake weupe wengi uitwa wazuri beautiful,lakin weusi ni wachache ata wanaoitwa wazuri uitwa black beauty pia ukienda ata kumtambulisha msichana wako akiwa mweusi sana watu wanapiga majungu,nazungumzia uhalisia wa mtaani na vile naona
 
Ila kuna weupe mmmh ni hakuna kitu cha uzuri wala mvuto.
 

kazi ya mungu haina makosa awe mweupe au mweusi, me/ke, " ukijaliwa nusu pua"
mvuto upungua. mtu mmoja alisema...... sijui ni kweli???
 
Weupe unamfanya mwanamke kuonekana mrembo hata akitoka usingizini, ndio maana mkorogo una soko. lakini ukweli ni kuwa weupo ambao mtu anazaliwa nao ndio humpendeza mwanamke, lakini wa mkorogo mmhm!! ngozi ikichoka ni sheeeedah!
 

Very true ila cjui kwanini, na wakati yote yanawezekana kuwa mzuri au mbaya .
 
siti mtemvu naye mzuri kwa vile mweupe?
 
Weupe unamfanya mwanamke kuonekana mrembo hata akitoka usingizini, ndio maana mkorogo una soko. lakini ukweli ni kuwa weupo ambao mtu anazaliwa nao ndio humpendeza mwanamke, lakini wa mkorogo mmhm!! ngozi ikichoka ni sheeeedah!

bila shaka na wewe upo kwenye kundi la "wanawake weupe" tena Natural
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…