Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wengine tulikimbia umande ila tumaneno twako tuzuriii nimejikongoja kuelewaaWhite is wonderful but Black is beauty
mi nazungumzia ukweli uliopo mtaani wanawake weupe wengi uitwa wazuri beautiful,lakin weusi ni wachache ata wanaoitwa wazuri uitwa black beauty pia ukienda ata kumtambulisha msichana wako akiwa mweusi sana watu wanapiga majungu,nazungumzia uhalisia wa mtaani na vile naona
rihanna,jokate na shilole sio weusi waleJokate anajichubua?Mbaya?Shilole na Jokate unamchukua nani?
weusi wanapendwa ulaya?????Naweza kusema weupe ni hisia ya mshangao kwa kuwa wengi wetu ni weusi ,ni sawa na mweusi anavyopendwa ulaya kwa weusi wake au wasukuma wengi wao ni weusi wanavyothamini mwanamke mweupe,this is just VISUALIZATION , and what determine the impact of visualization is the amount of emotion that you combine with the picture when you hold it in your conscious mind for reception by your subconscious mind . the more emotion with which you visualize the faster visualization will emerge in your reality. ndiyo maana hata CCM wanajiona ni bora kuliko CDM only kwa visualization .
Tupo tuliobaki na rangi zetu,na tunajiamini vibaya,teh white is fashion but black is beauty...Huo ndo ukweli hapo naona watu wanamung'unya maneno wanawake wengi weus wanajichubua ili kuendana na kasii ya ma white beuty
Urembo unategemea na mwonekano wa maumbile ya mwili wake, ndio maana watoto wanaotoka Kwa kagame wanaonekana wazuri na huku wengi wao ni weusiKuna jambo nimeona niulize,kwa nini mabinti wengi weupe,wanaume wanawaita wazuri,warembo lakini wanawake weusi ni wachache sana kuitwa wazuri,weusi wazuri tena wanaitwa black beauty.
Kuna rafiki yangu alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha wakampiga majungu eti mweusi sana ,ukiwa mweusi sana ata unaitwa majina mengi kama cheusi mangala nakadhalika.
Kitaa ukiwa na msichana mweupe ata atapata sana usumbufu wa kutongozwa nyie wenyewe mnajionea na watakuja kutoa ushahidi,ata mademu wengi weupe si waaminifu,wanapata sana usumbufu ata wanawake wengi wameamua sasa kujikoboa kuhimili ushindani.
Je ni vigezo gani vinatumika mwanamke mweupe kuitwa mzuri.
Hongeraaa personally mwanamke mweusii iko penda Sanaaa wanajotooooo kunako six kwa sixTupo tuliobaki na rangi zetu,na tunajiamini vibaya,teh white is fashion but black is beauty...
Kwanini wasukuma mnapenda walio weupe? Kuna utamu gani hapo?sisi wakina-ngosha ukweli tushaujua toka zamani kwamba msichana mweupe ni mzuri.
leo nyie ndio munauona mwenzi, hehehe! poleni sana.
Black Beautiful and Bootilicious [emoji126] ni kwereeeeMie Black Beuty Ndo Ugonjwa Wangu Hasa Halafu Uwe Na Shape Ni Hataree
Mkuu Mie Hiyo Ngozi Nyeuc Inanidatisha SanaBlack Beautiful and Bootilicious [emoji126] ni kwereeee