Kwa nini kila mwanamke mweupe anaitwa binti mzuri mrembo lakini si kila mweusi anaitwa mzuri

Kwa nini kila mwanamke mweupe anaitwa binti mzuri mrembo lakini si kila mweusi anaitwa mzuri

Hata kwenye mgegedo weusi wana joto sana kwa hiyo weusi wapo juu
 
chezeya rangi ya mtume...
weusi tunaloooooo hahahah...ila usidhani kisa we mweupe ndo.maisha yatakunyokea au utaolewa ukawaacha weusi wote,dhubutuuu hahaha
 
Huo ndo ukweli hapo naona watu wanamung'unya maneno wanawake wengi weus wanajichubua ili kuendana na kasii ya ma white beuty
 
Hata weupe huitwa cheupe dawa
mi nazungumzia ukweli uliopo mtaani wanawake weupe wengi uitwa wazuri beautiful,lakin weusi ni wachache ata wanaoitwa wazuri uitwa black beauty pia ukienda ata kumtambulisha msichana wako akiwa mweusi sana watu wanapiga majungu,nazungumzia uhalisia wa mtaani na vile naona
 
shela nyeupe na nyeusi ipi inapendeza? chupi nyeupe na nyeusi ipi inapendeza kwa mwanamke? bra nyeupe na nyeusi ipi inapendeza

when all other factors are the same, mweupe ni mzuri kuliko mweusi
 
Awe mweupe,kijani,hudhurungi, mweusi kahawia cjui, haijarishi muhimu ni zigo[emoji39]
 
Naweza kusema weupe ni hisia ya mshangao kwa kuwa wengi wetu ni weusi ,ni sawa na mweusi anavyopendwa ulaya kwa weusi wake au wasukuma wengi wao ni weusi wanavyothamini mwanamke mweupe,this is just VISUALIZATION , and what determine the impact of visualization is the amount of emotion that you combine with the picture when you hold it in your conscious mind for reception by your subconscious mind . the more emotion with which you visualize the faster visualization will emerge in your reality. ndiyo maana hata CCM wanajiona ni bora kuliko CDM only kwa visualization .
weusi wanapendwa ulaya?????
 
Mie Black Beuty Ndo Ugonjwa Wangu Hasa Halafu Uwe Na Shape Ni Hataree
 
Daaa Wazee wa kanda ya ziwa wanawachetua dada zetu sana, mumesababisha mpaka yule miss Tz alikuwa na rangi nzuri lakini akaanza kunywa maji mpaka rangi ikabadilika na shape
 
Kuna jambo nimeona niulize,kwa nini mabinti wengi weupe,wanaume wanawaita wazuri,warembo lakini wanawake weusi ni wachache sana kuitwa wazuri,weusi wazuri tena wanaitwa black beauty.

Kuna rafiki yangu alimpeleka mchumba wake kwao kumtambulisha wakampiga majungu eti mweusi sana ,ukiwa mweusi sana ata unaitwa majina mengi kama cheusi mangala nakadhalika.

Kitaa ukiwa na msichana mweupe ata atapata sana usumbufu wa kutongozwa nyie wenyewe mnajionea na watakuja kutoa ushahidi,ata mademu wengi weupe si waaminifu,wanapata sana usumbufu ata wanawake wengi wameamua sasa kujikoboa kuhimili ushindani.

Je ni vigezo gani vinatumika mwanamke mweupe kuitwa mzuri.
Urembo unategemea na mwonekano wa maumbile ya mwili wake, ndio maana watoto wanaotoka Kwa kagame wanaonekana wazuri na huku wengi wao ni weusi
 
si kweli na kizuri kiko machoni mwa mtu,kibaya kwako kizuri kwa mwengine,am proud of my ucheusi mangala na wala sijawai kufikiria kujichubua
 
Tupo tuliobaki na rangi zetu,na tunajiamini vibaya,teh white is fashion but black is beauty...
Hongeraaa personally mwanamke mweusii iko penda Sanaaa wanajotooooo kunako six kwa six
 
sisi wakina-ngosha ukweli tushaujua toka zamani kwamba msichana mweupe ni mzuri.

leo nyie ndio munauona mwenzi, hehehe! poleni sana.
Kwanini wasukuma mnapenda walio weupe? Kuna utamu gani hapo?
 
Back
Top Bottom