Kwa nini kila mwanamke mweupe anaitwa binti mzuri mrembo lakini si kila mweusi anaitwa mzuri

Hata kwenye mgegedo weusi wana joto sana kwa hiyo weusi wapo juu
 
chezeya rangi ya mtume...
weusi tunaloooooo hahahah...ila usidhani kisa we mweupe ndo.maisha yatakunyokea au utaolewa ukawaacha weusi wote,dhubutuuu hahaha
 
Huo ndo ukweli hapo naona watu wanamung'unya maneno wanawake wengi weus wanajichubua ili kuendana na kasii ya ma white beuty
 
Hata weupe huitwa cheupe dawa
 
shela nyeupe na nyeusi ipi inapendeza? chupi nyeupe na nyeusi ipi inapendeza kwa mwanamke? bra nyeupe na nyeusi ipi inapendeza

when all other factors are the same, mweupe ni mzuri kuliko mweusi
 
Awe mweupe,kijani,hudhurungi, mweusi kahawia cjui, haijarishi muhimu ni zigo[emoji39]
 
weusi wanapendwa ulaya?????
 
Mie Black Beuty Ndo Ugonjwa Wangu Hasa Halafu Uwe Na Shape Ni Hataree
 
Daaa Wazee wa kanda ya ziwa wanawachetua dada zetu sana, mumesababisha mpaka yule miss Tz alikuwa na rangi nzuri lakini akaanza kunywa maji mpaka rangi ikabadilika na shape
 
Urembo unategemea na mwonekano wa maumbile ya mwili wake, ndio maana watoto wanaotoka Kwa kagame wanaonekana wazuri na huku wengi wao ni weusi
 
si kweli na kizuri kiko machoni mwa mtu,kibaya kwako kizuri kwa mwengine,am proud of my ucheusi mangala na wala sijawai kufikiria kujichubua
 
Tupo tuliobaki na rangi zetu,na tunajiamini vibaya,teh white is fashion but black is beauty...
Hongeraaa personally mwanamke mweusii iko penda Sanaaa wanajotooooo kunako six kwa six
 
sisi wakina-ngosha ukweli tushaujua toka zamani kwamba msichana mweupe ni mzuri.

leo nyie ndio munauona mwenzi, hehehe! poleni sana.
Kwanini wasukuma mnapenda walio weupe? Kuna utamu gani hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…