Kwa nini kila timu inaikamia Simba?

Bonge la Pointi ...
 
Ni kwa sababu ya mdomo wenu na si vinginevyo.
 
Kuifunga Simba ni kama sherehe hivi. Hakuna timu nyingine yoyote ile hapa Tanzania ambayo ikifungwa wapinzani wao hufanya sherehe zaidi ya Simba.[emoji419][emoji375]
 
Makolo ni sawa na demu mdangaji tu, kila mwanaume kauzu anaweza kuponea kwake, suala ni muda na makubaliano tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…