Kwa nini kitimoto kinauzwa Bar na Hotel kubwa tu? Ni marufuku mama ntilie na wauza chips kuuza kitimoto?

Kwa nini kitimoto kinauzwa Bar na Hotel kubwa tu? Ni marufuku mama ntilie na wauza chips kuuza kitimoto?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu?

Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza kuanzia nusu kilo?!

Hili hali inahitaji kubadilika kuwe na mama ntilie wanaouza kitimoto na wauza chips wanaouza mishikaki ya kitimoto.
 
Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu?

Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza kuanzia nusu kilo?!

Hili hali inahitaji kubadilika kuwe na mama ntilie wanaouza kitimoto na wauza chips wanaouza mishikaki ya kitimoto.
Tatizo bei mwanawane bei.
Ila vuka hapo nairobi mbona mama ntilie wanauza kitimoto na ugali waki-luyha
 
Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu?

Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza kuanzia nusu kilo?!

Hili hali inahitaji kubadilika kuwe na mama ntilie wanaouza kitimoto na wauza chips wanaouza mishikaki ya kitimoto.
Unalalamika ukiwa wapi? Kàma uko dar nenda shekilango kuna mtaa zimebanikwa mtaa mzima zinawaka kama nyota!
Agiza kiasi unataka, acha kadanganya eti ipo mahotel makubwa tuu.
 
Unalalamika ukiwa wapi? Kàma uko dar nenda shekilango kuna mtaa zimebanikwa mtaa mzima zinawaka kama nyota!
Agiza kiasi unataka, acha kadanganya eti ipo mahotel makubwa tuu.
Hapo ninaweza kupata mishikaki ya buku buku ya kitimoto??
 
Umewahi fika Njombe, Mbeya huko?

Au unazungumzia Dar Ili kuleta uchochezi kufurahisha nafsi yako?
Mimi nataka nikapate Dar kwa mama ntilie, uchochezi gani wakati ni kitendo cha kuweka kibao tu mboga au mishikaki ya kitimoto inapatikana.
 
Nature yake baadhi ya waumini hawatumii, hivyo biashara ndogo km ya mama ntilie nafasi haitoshi kutenganisha jiko la kitimoto na la vingine.
Siye waislamu twala kitimoto ilimladi achinjwe kwa kuelekezwa kibra kiislamu...mtume alisema tukiwa na njaa tunaweza kula kitimoto tatizo ni uchinjaji
 
Hapo ninaweza kupata mishikaki ya buku buku ya kitimoto??
Nenda unapata, tena wauzaji wameweka wapiga debe pisi kali zinaonga lafudhi ya kichanga. Unagombaniwa hata ukitaka ya jero pesa yako tuu.
 
IKiuzwa kwa mama ntilie makobazi watalalamika. Vyombo vya kitimoto vitachanganyika na vingine
 
Back
Top Bottom