Kwa nini kitimoto kinauzwa Bar na Hotel kubwa tu? Ni marufuku mama ntilie na wauza chips kuuza kitimoto?

Kwa nini kitimoto kinauzwa Bar na Hotel kubwa tu? Ni marufuku mama ntilie na wauza chips kuuza kitimoto?

Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu?

Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza kuanzia nusu kilo?!

Hili hali inahitaji kubadilika kuwe na mama ntilie wanaouza kitimoto na wauza chips wanaouza mishikaki ya kitimoto.
Hujaenda Njombe, Sumbawanga, Mbeya, Songea na kwingine
 
IKiuzwa kwa mama ntilie makobazi watalalamika. Vyombo vya kitimoto vitachanganyika na vingine
Wanaouza mboga ya kitimoto wabandike kibao tu, halafu mbona Kambale, pweza, ngisi, jodari n.k wanauzwa kwa mama ntilie ila Wasabato hawalalamiki?
 
Wanaouza mboga ya kitimoto wabandike kibao tu, halafu mbona Kambale, pweza, ngisi, jodari n.k wanauzwa kwa mama ntilie ila Wasabato hawalalamiki?
Makobazi ni walalamishi si unawajua
 
Kitimoto ni Kwa wenye kipato Cha juu tu sio waomba pesa za binoculars
 
Ipikwapo inasinyaa, yaani kilo moja waweza dhani ni nusu kilo

Ya ng'ombe kilo moja inabaki wingi ule ule
 
Back
Top Bottom