Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissua amewahi kumtaja Soka na aksema ni mmojawapo wa vijana walioenda kumpokea Airport aliporejea nchini.Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
Unatuuliza maswali ya kipumbavu!Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
Ndio unataka kumsaidia kusema kwanini?Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
Kwao nani anayeweza kuona mita 2 mbele?CCM mkitaka Lissu asiwe mwenyekiti basi jidaini mnamuunga mkono. Kumchafua ni strategy mbaya itakayomuongezea miles.
Ukiwataja wewe inatosha,lissu kema mengi sana kuhusiana na uwepo wa utekaji na uuaji wa wanasiasa nchini,na mahali pengi vyombo vya usalama vimekua vikipiga chenga harakati za kufikisha kwenye vyombo vya sheria wahusika.Najiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
Kiroboto weweUongo
Mpuuzwa weweNajiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?
Mpuuzwa wewe
View: https://youtu.be/yRDyvrJutJs?si=rrTDTeu2kWiWjvc7
Pre GE2025 - Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili
Simba wa Kizimkazi mh Tundu Antipas Lisu amepeleka kilio chake kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia juu ya kutekwa na kupotea kwa kijana Deus Soka Makamu Mwenyekiti huyo wa CHADEMA ametoa kilio chake ukurasani X Ahsanteni Sana 🐼 ====== Rais Samia, kijana huyu anaitwa Deus Soka...www.jamiiforums.com
Ujinga wako umeanzia hapoNajiuliza tu, kwa nini Lissu hajawahi kwenda Tanga kuhani msiba wa Mzee Kibao, na katika hotuba zake,mbali na kugombania madaraka ya uenyekiti na urais, hata hajawahi kuwataja akina Soka?