Kwa nini mabilionea hawatumii Simu kama wewe? Ukweli kuhusu data na ujasusi wa Kidigitali

Kwa nini mabilionea hawatumii Simu kama wewe? Ukweli kuhusu data na ujasusi wa Kidigitali

Mkuu wanatumia simu ndio lakini wanatumia aje your not using an encrypted phone but billionaires use kwahiyo sasa mkuu uongo upo wapi hapo ndio maana nasema kila content nnayo andika usipo soma kwa makini utanikuta wewe ndio unaona errors but ukisoma kwa makini utaelewa nini kimeandikwa kila nnachoweka humu nimefanyia research ya kutosha mkuu sasa soma tena then uniambie error Iko wapi na Mimi nitakuonesha ulipo paruka au ulipishindwa kutafsri
Kuhusu kuuzwa kwa taarifa nakubaliana nalo, ila mabilionea kuto kutumia simu ni uongo mkubwa.
 
Ok mkuu sorry sana sipo kwaajili ya kubishana lakini nipo kwaajili ya kuwanong'oneza wengine kwa pembeni Incase wewe ni mjuaji sana I don't have much time to conversate with you do your research ndio uje hapa sibishani kwasababu siandiki kitu ambacho hakijafanyiwa research mkuu I only deal with fact
Kwani tunabishana ? au wewe uko ktk angle ya mabishano ? Mie nataka ufafanuzi kwann wapo huko? Watanzania mbn mnajishtukia sana?
 
Billionea gani hana simu?..musk, trump,bezzos nk wanazo
Read carefully brother sijasema hawatumii simu wala hawana simu ninachomaanisha ni kwamba utumiaji wako na wao ni tofauti kabisa pia unapoona account ujue sometimes kuna moderator ambaye anasimamia account wanatumia simu ila kwa namna gani nimesema hapo juu tatizo watu hamsomi mnakimbilia reply huku mkitafuta udhaifu wa hiyo written content anyway!!
 
Hahahaha na mm ndio nataka anituibitishie hilo,ujue Kuna watanzania wajinga wajinga wengi ni km huyu
Ok brother mimi sibishani na wewe mkuu tatizo sometimes we share content ambazo ni ngumu kueleweka na small minded people na kwenye masuala kama haya yakutafuta udhaifu wa content huwa sihusiki kabisa maana mtafuta udhaifu na mterm as a dumb while a great thinker always finds important point on a content
 
Shida wana kopi info, Kisha wana enda ku tafsiri google.

halafu ana lazimisha ni facts
Mkuu tatizo ndio hilo tunasema hapa kila siku ukiwa na akili ndogo don't interact in any of my threads pitia threads zangu alafu nenda kamtumie uyo google wako uone uliyonena ni sahihi I think because of you man tomorrow will be my last day here on JF before I move to other place 🤝
 
Mkuu samahani kama chapisho langu lilikusababisha kutofurahi au kuchukizwa. Lengo langu halikuwa kudhihaki au kuudhi mtu yeyote. Lengo ni kubadilishana mawazo Incase machapisho yangu huku JF hayakufai sina namna zaidi ya kukaa kimya. Naitumai Kuna waungwana humu wanauelewa na Incase Kuna shida mahali either ya syntax tunajulishana maana Mimi pia ninae andika ni mwanadamu. Japo suala hili la kejeli limeniudhi sana lakini sina namna ni vyema ni interact na wadau wastaarabu na waungwana wenye hekima na mchango positive.
 
Ok brother mimi sibishani na wewe mkuu tatizo sometimes we share content ambazo ni ngumu kueleweka na small minded people na kwenye masuala kama haya yakutafuta udhaifu wa content huwa sihusiki kabisa maana mtafuta udhaifu na mterm as a dumb while a great thinker always finds important point on a content
Ok
 
Ok brother mimi sibishani na wewe mkuu tatizo sometimes we share content ambazo ni ngumu kueleweka na small minded people na kwenye masuala kama haya yakutafuta udhaifu wa content huwa sihusiki kabisa maana mtafuta udhaifu na mterm as a dumb while a great thinker always finds important point on a content
Sawa nimekuelewa Mkuu , sorry km tunapishana ni mitazamo tu Mkuu
 
Back
Top Bottom