Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Kwa nini mademu wengi wanapenda kunywa Savanna

Hata wanaume tuna piga savannah hasa kama ulikuwa mtu wa vino kkwa sana na iko vizuri tu kwa wa bata like you replace vino in a way!
 
...Baada ya yeye kuagiza bapa, nikaona isiwe tabu ngoja nami nijitutumue badala ya bia tunywe wote Konyagi, wakati mimi nakunywa kwa uoga uoga, maana huwa sinywagi mara kwa mara Konyagi, yaani haikuchukua round mzinga umekatika!
Nikaagiza mwingine tena, nikaona inaanza kunichukua, mrembo kwa kuwa ni mzoefu akatoa wazo tupate kongoro kwanza, then mbuzi choma.

Yaani mpaka mida ya saa nne usiku nikaona naanza kukata network, but uzuri ni kwamba alikuwa mstaarabu alinisindikiza mpaka Guesti nilipofikia maana nilianza kupotea njia tukaagana.

Asubuhi yake akanipitia (ilikuwa J1) but alifanya kazi ya ziada kunigongea mpaka nikaamka, baada ya kuoga tukaenda kupata supu, sprite baridi na maji meengi baridi ndo nikawa fresh kidogo. Kwa kweli kama angekuwa siyo mstaarabu angenikomba kila kitu maana tulikunywa Konyagi sanaa siku hiyo, na baadae akaja kuwa very close friend of mine na tukasaidiana mengi sana.
Bravo
 
Nimekumbuka mdogo wangu kila akinitumiaa picha yupo bar lazma savanna iwepo na anapenda kunywea kwenye glass za kishingo
 
Mi naipenda kwasababu ni tamu, ila ni Kali ina alcohol nyingi
 
...Some yrs back niliendaga Mweka, Moshi (Kule kwenye kile chuo cha wildlife), jioni kwenye mizunguko nikapata kimwana mmoja matata sana tukaenda Bar moja na wakati naweka order nikamuuliza utatumia nini wewe? Aisee akajibu fasta mzinga wa Konyagi na club soda!! nikasema leo kazi ipo.
ulitaka aanze kung'ata vidole[emoji3] alafu mwisho akwambie nichagulie mirinda nyeusi au njano
 
Back
Top Bottom