Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wakuu, kwa nini hili hutokea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nashangaa kwanini ukishiba unakuwa hauna hamu ya kulaNgoja waje
Hata mm nashangaa kwann ukipizi huna hamu tena
🤣🤣🤣 ukipizi unaanza kufikiria gharama zote ulizotumia kahisia fulani kamajuto kanakujiaNgoja waje
Hata mm nashangaa kwann ukipizi huna hamu tena
High concentration of Acidity compare to low concetration ya Alkalinity in saliva grandEti wakuu, kwa nini hili hutokea?
Inategemea ulipopizia 😂 kuna engine adimu mno zinahamasisha kuendelea na safari hata baada ya kumwaga oil. Key word 'ni adimu mno'Ngoja waje
Hata mm nashangaa kwann ukipizi huna hamu tena
Bado atakuja lalamika kwann nanasi tamu baada ya kunywa maji.Siku nyingine kunywa kwanza maji
Kwa nini maji yanakuwa machungu ukinywa baada ya kula nanasi?Siku nyingine kunywa kwanza maji
Yaan inaisha kabisa mkuuNgoja waje
Hata mm nashangaa kwann ukipizi huna hamu tena
Ukitaka usiwaze yote hayo hinges ndani ya gari.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukipizi unaanza kufikiria gharama zote ulizotumia kahisia fulani kamajuto kanakujia