Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 791
wakuu, hv kwa nini wanawake wengi huwa wanaona kama halali yao kuhongwa? s wote, lakini asilimia kubwa ya wanawake akiwa na mshkaji anaona matatizo yake yanaishia hapo...mara nataka vocha!, mara losheni!
mkitoka auti kulipa bill tu mziki!....si wasomi, si wa uswahilini!
mkitoka auti kulipa bill tu mziki!....si wasomi, si wa uswahilini!