Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kila wakati Takwimu huwa zinasema tofauti na wana- Yanga wanavyoaminishwa na watu wao wanaowaamini. Juzi Kati hapa almanusra Manara awadanganye Yanga kwamba haijawahi kutokea Timu ya Tanzania kuongoza kundi kwenye mashindano ya CAF ikiwa na Pointi 13.
Alipokumbushwa kwamba simba iliwahi kuongoza kundi Ligi ya Mabingwa ikiwa na Pointi hizo 13, akakaa kimya. Lakini Takwimu zile zilishaanza kushadadiwa na watu wa Yanga kwa kasi ya ajabu sana.
Simba inaongoza kwa kuwa na magoli Mengi kwenye Ligi Kuu Tanzania, lakini mashabiki wa Yanga wameaminishwa kwamba Simba eti ndiyo yenye Fowadi mbovu sana kuliko wao. Inakuwaje Simba inayoipita Yanga magoli ya kufunga kwa tofauti zaidi ya magoli 10 eti yenyewe ndiyo iwe na fowadi mbovu?
Pia kuna hoja hii ya kwamba Simba haijawahi kuifunga Yanga tangu mwaka 2019, hii hoja ni ya kweli lakini imetiwa chumvi mno. Namshukuru sana JanguKamaJangu ambaye ameweka takwimu hizi hapa chini.
29/04/2018: Simba 1-0 Yanga
30/09/2018: Simba 0-0 Yanga
16/02/2019: Yanga 0-1 Simba
04/01/2020: Simba 2-2 Yanga
08/03/2020: Yanga 1-0 Simba
07/11/2020: Yanga 1-1 Simba
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
Kwa takwimu hizi inakuwaje watu wa Yanga wadhanie kwamba kuanzia mwaka 2019 Simba imekuwa dhaifu kwao??
Alipokumbushwa kwamba simba iliwahi kuongoza kundi Ligi ya Mabingwa ikiwa na Pointi hizo 13, akakaa kimya. Lakini Takwimu zile zilishaanza kushadadiwa na watu wa Yanga kwa kasi ya ajabu sana.
Simba inaongoza kwa kuwa na magoli Mengi kwenye Ligi Kuu Tanzania, lakini mashabiki wa Yanga wameaminishwa kwamba Simba eti ndiyo yenye Fowadi mbovu sana kuliko wao. Inakuwaje Simba inayoipita Yanga magoli ya kufunga kwa tofauti zaidi ya magoli 10 eti yenyewe ndiyo iwe na fowadi mbovu?
Pia kuna hoja hii ya kwamba Simba haijawahi kuifunga Yanga tangu mwaka 2019, hii hoja ni ya kweli lakini imetiwa chumvi mno. Namshukuru sana JanguKamaJangu ambaye ameweka takwimu hizi hapa chini.
29/04/2018: Simba 1-0 Yanga
30/09/2018: Simba 0-0 Yanga
16/02/2019: Yanga 0-1 Simba
04/01/2020: Simba 2-2 Yanga
08/03/2020: Yanga 1-0 Simba
07/11/2020: Yanga 1-1 Simba
03/07/2021: Simba 0-1 Yanga
11/12/2021: Simba 0-0 Yanga
30/04/2022: Yanga 0-0 Simba
23/10/2022: Yanga 1-1 Simba
Kwa takwimu hizi inakuwaje watu wa Yanga wadhanie kwamba kuanzia mwaka 2019 Simba imekuwa dhaifu kwao??