Kwa nini mashabiki wa Yanga huamini Simba ni mbovu kuliko Timu yao?

Sasa akikuwin kwa mbinu huwezi kukindi kwqmba ni Bora kwako?
 
Tangu nabi aingize mifumo yake yanga haijawahi zidiwa kimpira na timu yoyote Tanzania na CAF
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]amka utokojoa kitandani
 
Fanyeni usajiri acheni janjajanja. Ni wakati wa nyinyi kujifunza mengi kutoka kwa YANGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…