kiben10
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 613
- 791
Jamani leo gheto langu jeupe kabisaaa...X wangu kasepa na baadhi ya vitu ghetoni kwangu.
Vitu alivyochukua;
Pufyumu 2, kioo, mafuta ya kupaka, Lotion aina 2, Powder 1, vipimo vyangu vya HIV 4 na reagent , Begi zangu 2, Redio ya Bluetooth 1, Shuka 2 nyeupe na dawa ya meno Cologate.
Huyu bint tumefahamiana 3 weeks ila nilimuamini sana ila leo ndio kanifanyia unyama huu. Sema kwani me sifahamu nilikutana nae kwa Gari ya Tegeta to mwenge na yeye aliniambia anaishi magomeni, sijui magomeni gani. Sasa amekuja kwangu mara 4 ila safari hii ya 5 ndio kanifanyia hivi toka asbh kaniambia anakuja niache funguo kwani mimi nilikuwa job ndio nimerudi saa 2usiku ndio nakuta gheto nyeupe namna hii nimfanyie nini huyu bint?.
Nishaurini nifanye nini ili aweze kurudishe mali zangu???
Vitu alivyochukua;
Pufyumu 2, kioo, mafuta ya kupaka, Lotion aina 2, Powder 1, vipimo vyangu vya HIV 4 na reagent , Begi zangu 2, Redio ya Bluetooth 1, Shuka 2 nyeupe na dawa ya meno Cologate.
Huyu bint tumefahamiana 3 weeks ila nilimuamini sana ila leo ndio kanifanyia unyama huu. Sema kwani me sifahamu nilikutana nae kwa Gari ya Tegeta to mwenge na yeye aliniambia anaishi magomeni, sijui magomeni gani. Sasa amekuja kwangu mara 4 ila safari hii ya 5 ndio kanifanyia hivi toka asbh kaniambia anakuja niache funguo kwani mimi nilikuwa job ndio nimerudi saa 2usiku ndio nakuta gheto nyeupe namna hii nimfanyie nini huyu bint?.
Nishaurini nifanye nini ili aweze kurudishe mali zangu???