Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
to hell michuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema kwamba Michuzi ni bias on the news; sasa na wewe mwenyewe pia ni bias. Angalia kichwa cha habari chako "habari za CHADEMA" kwani Chadema kipo peke yake? Don't judge others; before you look at yourself.
CHADEMA sasa watakua kimyaaaaaaaaaa...kazi kukurupuka tu..oooh Michuzi haweki picha zenu..haya hizo hapo sasa!!! Mnataka kuongoza nchi hata hamna mpiga picha!!!
Kaka hapa utakuwa unawakosea CHADEMA kudai kuwa wanakurupuka na kulilia Michuzi kuweka habari zao. Kwa uelewa wangu, naamini kuna memba mmoja hapa ndiye aliuliza kwa nini Michuzi haweki habari za CHADEMA.
Kwa nini tupindishe ukweli hapa kwa kushabikia chama fulani? Let us be real. Blogs ziko nyingi tu but CHADEMA hawajawahi kulalamikia blog ya Michuzi......come on.
Michuzi namfahamu fika, kwa maoni yangu binafsi, hana ubaguzi ila nadhani kuna uwezekano hakuna yoyote anayempelekea habari za Chadema, hivyo kama hapelekewi, afanyaje?.
Hebu nyie wapenzi wa Chadema, mrushieni habari za Chadema muone kama hata zitoa.
Ila pia Michuzi nae nibinadamu tuu kama wengine, na kazi za uandishi wa kibongo nazijua fika na msoto wake pia naujua.
Wale waandishi wote ambao sio makini, waliobahatisha kwenye fani, ama wababaishaji, the only means za survival ni kujikomba komba kwa wenye nazo, inawezekana kujaa sana kwa CCM kwenye Michuzi blog, has something to do na survival ya ankal!.
Hata akiwa kwenye msafara wa Kikwete. Mbona huwa akisafiri nje ya nchi bado blog inakuwa updated na habari za nyumbani?
Ana vijana anaofanya nao kazi.
Anaudhi sana Michuzi. Halafu kama mfanyakazi wa serikali anavaa na kupiga picha na vitambulishi vya CCM -picha aliyoweka akisema ni birthday yake, yuko Kigoma, amevaa cap ya CCM.
Ajitokeze tu wazi na kusema kuwa yeye ni kada na mwanachama wa CCM, kwani dhambi?
mtu kama huyu, mwenye fikra duni na uwezo mdogo wa kupambanua mambo, hasa pale watu( wapinzani) wanapoleta mawazo mbadala juu ya mustakabali wa nchi hii, anahitaji msaada wa wana- wana jfsitaki kumtetea michuzi wala ccm. Kama sikosei yeye alisema hao vyama vingine mfano chadema na wengineo hawana njia ya kufanya publicity ya vyama vyao na shughuli zao. Wao wanahisi kila mtu atawafuata. Asilimia karibu 98 za habari za ccm kwa michuzi zinatumwa kwake, na hao wa chadema mpaka aende mwenyewe (mfano siku mbowe kamtangaza dr slaa kuwania urais) yaani hata video aliweka.
Halafu wewe mutu inaonesha umetumwa ama una chuki binafsi na michuzi ambaye wala halipwi na wewe wala nini. Wewe umemkazania kuwa ni kada wa ccm kwani tatizo liko wapi? Hivi kuwa mjanja ama mtu sawa lazima mtu uwe chadema.
Mnamfagilia dr slaam mnamkumbuka mrema na nccr yake alivyokuwa anasomba watu na siku ya siku ikawaje? Mnamkumbuka nyerere aliwaambia watu jangwani pale kama mtu anapenda kubebwa kama maiti mwacheni sio kosa, dr slaa kwa lipi hasa?? Hayo madesa ya epa na richmod ambayo tumeshachoka kusikia (hamna mengine) mbona yeye hatuzungumzii alivyotemwa na kanisa? Mnataka tumwage mtama hapa??
Nyie chadema wachache wenye njaa msio ne kuwa ccm ni dhambi. Dhambi iko katika kuongozwa na ngo ya ukoo inayoitwa chama cha siasa. Upumavu tu umewajaa. Mumkome michuzi wa watu.
Sitaki kumtetea Michuzi wala CCM. Kama sikosei yeye alisema hao vyama vingine mfano CHADEMA na wengineo hawana njia ya kufanya publicity ya vyama vyao na shughuli zao. Wao wanahisi kila mtu atawafuata. Asilimia karibu 98 za habari za CCM kwa Michuzi zinatumwa kwake, na hao wa CHADEMA mpaka aende mwenyewe (mfano siku Mbowe kamtangaza Dr Slaa kuwania Urais) yaani hata video aliweka.
Halafu wewe Mutu inaonesha umetumwa ama una chuki binafsi na Michuzi ambaye wala halipwi na wewe wala nini. Wewe umemkazania kuwa ni kada wa CCM kwani tatizo liko wapi? Hivi kuwa mjanja ama mtu sawa lazima mtu uwe CHADEMA.
Mnamfagilia Dr Slaam mnamkumbuka Mrema na NCCR yake alivyokuwa anasomba watu na siku ya siku ikawaje? Mnamkumbuka Nyerere aliwaambia watu Jangwani pale kama mtu anapenda kubebwa kama maiti mwacheni sio kosa, Dr Slaa kwa lipi hasa?? Hayo madesa ya EPA na RICHMOD ambayo tumeshachoka kusikia (hamna mengine) mbona yeye hatuzungumzii alivyotemwa na kanisa? Mnataka tumwage mtama hapa??
Nyie CHADEMA wachache wenye njaa msio ne kuwa CCM ni dhambi. Dhambi iko katika kuongozwa na NGO ya ukoo inayoitwa chama cha siasa. Upumavu tu umewajaa. Mumkome Michuzi wa watu.
Hapo ndio ninapomkumbuka Nyerere, enzi zake mja kama huyu thubutu kumsogelea Rais au misafara yake. Siku hizi kina Michuzi wa dunia wanampigia Kikwete anapokea mwenyewe...Michuzi na Raisi Kikwete ni marafiki.