Elections 2010 Kwa nini Michuzi aling'aka ailipoambiwa anapigia kampeni CCM?

Navyojua mimi pamopja na Michuzi kuwa mwanahabari pia ni mwana CCM.. Na sijui hili tegemeo la kwamba anatakiwa asipendelee chama chochote ni mpango uloanzishwa lini..Maadam CCM ndiye anayeweka ugali wake mezani na tupo ktk demokrasia, Michuzi ana kila right ya kukipigia debe chama akipendacho - Hamtaki anzisheni nanyi Blog zenu..
 

MICHUZI ni kibaraka wa CCM..period!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…