Kwa nini mtandao wa TTCL unatumiwa sana na matapeli kutuma jumbe zao?

Kwa nini mtandao wa TTCL unatumiwa sana na matapeli kutuma jumbe zao?

Kasiano Muyenzi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
13,858
Reaction score
22,729
Nataka kujua kuna ushirika gani kwa hao matapeli na mtandao wa TTCL
Screenshot_20230903-220641.png
 
TTCL hawana limit ya kutuma sms ndani ya lisaa limoja.

Mitandao mingine uwezi tuma sms zaidi ya 100 ndani ya lisaa limoja.
 
Back
Top Bottom