Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo,tujadiliKwahiyo ndio uzi tayari?
Kidogo ungetoa maelezo ukaweka na reference tungeweza kujadiliNdiyo,tujadili
Labda kituo kuna ugonjwaTujadili kidogo
Kidogo ungetoa maelezo ukaweka na reference tungeweza kujadili
Mimi angalau nimweka title lakini Masoud Kipanya anweka mchoro na watu wanajdili.Kidogo ungetoa maelezo ukaweka na reference tungeweza kujadili
Ni kama samaki na mvuvi, samaki anakamatwa akiwa mzima then anafia kwenye mtumbwi,so 😭😢😢😢😢😢😭Tujadili kidogo
Tujadili kidogo
Kufa ni mojawapo ya sifa Kuu za kibaiolojia za kiumbe hai chochote kile hapa duniani. Lakini kwa Tanzania, mtu akifa akiwa ndani ya mikono ya Jeshi la Polisi mara nyingi huwa inakuwa siyo Kifo kitokanacho na kudra za Mungu katika kutimiza sifa hii ya kiumbe hai.Tujadili nini na wakati inajulikana wazi! Kwani hujawahi kusikia mahabusu wamejinyonga ndani ya kituo cha polisi, na wakati hawaruhusiwi kuingia na vitu hatarishi vya kusababisha hatari kama hiyo ya kujinyonga!
Wananchi wana malalamiko hata na serikali yake kwa ujumla,nani wa kulichunguza hilo kama sio yeye!!!!"Wananchi hawaridhiki na utendaji wa jeshi la polisi. Kuna malalamiko mengi ya wananchi, watuhumiwa kufia kwenye mahabusu za polisi. Tujichunguze na mlifanyie kazi, hatuwezi kuendelea hivyo" - Rais Samia (Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote).