John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Hivi Akwilina Akwilini na Daud Mwangosi waliiba mali za nani kabla ya kuuawa???Ongeeni na watoto zenu wizi na ujambazi mwisho wake ni kifo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Akwilina Akwilini na Daud Mwangosi waliiba mali za nani kabla ya kuuawa???Ongeeni na watoto zenu wizi na ujambazi mwisho wake ni kifo tu
Sasa hapo tujadili nini ? Iko wazi tu Kama kakamatwa na polisi akiwa mzima wa afya na baadae anatangazwa amekufa SI polisi ndio wamemuua?Tujadili kidogo
Naunga mkono hojaTujadili nini na wakati inajulikana wazi! Kwani hujawahi kusikia mahabusu wamejinyonga ndani ya kituo cha polisi, na wakati hawaruhusiwi kuingia na vitu hatarishi vya kusababisha hatari kama hiyo ya kujinyonga!
Walikamatwa kwa kosa gani na waliwekwa kituo gani hao hadi wakafa?Hivi Akwilina Akwilini na Daud Mwangosi waliiba mali za nani kabla ya kuuawa???
Kuna wkt fulani niliona humu kwamba PT wameshika nafasi ya 9 Afrika kwa kufanya kazi kwa weledi. Sasa hizo takwimu zilikuwa cooked au! Maana Kwa hii hali weledi ni 0.Tujadili kidogo
Kiufupi kila kitu katika dunia kina weledi wake, wao naamini wamekosa weledi wa kazi na badala yake wanatumia excessive force (nguvu kupitiliza)."Wananchi hawaridhiki na utendaji wa jeshi la polisi. Kuna malalamiko mengi ya wananchi, watuhumiwa kufia kwenye mahabusu za polisi. Tujichunguze na mlifanyie kazi, hatuwezi kuendelea hivyo" - Rais Samia (Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote).
Mkuu, maelezo yanaweza yasijitosheleze lakini mchoro hutoa taswira zaidi ya 1000Mimi angalau nimweka title lakini Masoud Kipanya anweka mchoro na watu wanajdili.
Huwa wanafundishwa nini?Kiufupi kila kitu katika dunia kina weledi wake, wao naamini wamekosa weledi wa kazi na badala yake wanatumia excessive force (nguvu kupitiliza).
Kwahiyo wanatakiwa wajitune warudi kwenye mafunzo wanayofundishwa na sio matumizi ya nguvu na uonevu kupitiliza
Haya mambo hayataisha bila kuwa na serikali inayowajibika kwa wananchi. Na hatutakuwa na serikali inayowajibika kwetu bila sisi wananchi kuacha woga na kudai haki zetu. Wewe hushangai mtu anaua na polisi halafu hapo hapo ndugu zake wanalia kwa mzuka mbele ya kamera eti wakimwomba mama Samia, awasaidie kupata haki? Yaani huyo huyo anayesababisha matatizo ndiyo huyo huyo anayeliliwa kuyatatua. Ina maana hatujui kuwa polisi wanafanya yote haya kwa sababu viongozi hawajali?Tujadili kidogo
Masomo yao wanayajua wenyewe chiefHuwa wanafundishwa nini?
Usikute ndo haya wanayoyafanya boss. Labda itazamwe silabasi yao.Masomo yao wanayajua wenyewe chief