Kwa nini Muslim University of Moro hawatumii Central Admission Syst (CAS)

Status
Not open for further replies.
Sio vyote vpo tcu mkuu

najua siyo vyote na kati ya vyuo ambavyo havimo ni hiki cha kwenye mada,na ninadhani ndio chuo pekee ambacho hakipo TCU cas.
je kwa nini hakimo?hii ndio mada.
 
huyu ni kasanzu yuleyule naemujua mimi mchunga ng'ombe ama mwingine?
 
acha uongo

tatizo nyinyi hawa watu sijui mna matatizo gani? ni uongo kwa uthibitisho upi? mkishaona dini tu basi tatizo hapo watu hawana hoja tena ni ujinga tu unafata. hakuna atayekanusha maelezo yangu kama ni mnufaika wa chuo kile na anajua sababu maana ilisemwa, watafute hao wanafunzi na wakufunzi wa pale watueleze sababu ni nini?nakwambia hawawezi kuja na sababu tofauti na nilizoandika kwa sababu wenye chuo ndio walisema tena hadharani bora wangesema kwa siri wangeweza hata kukana maneno yao
 

mum hakuna kozi itolewayo before kuanza kusoma degree ....
Sababu ya kutojiunga na tcu ni kukifanya chuo kiwasaidie waislam wengi ambao wananyimwa fursa kimaksudi na vyuo vya umma .....

Mimi ni graduate wa mum... So nina ongea kitu nikijuacho
 

Sasa kama walishasema sababu unatuulizia nini?

Eti unachunguza habari hutii chumvi!? Hicho kilichokusukuma kuandika hii habari ni chumvi tosha!
 
Kuchunga Ng'ombe ni kaz kama kazi zingne, msukuma na mmasai ndio heshma zetu zilipo. Nifahari kwetu na ishara ya ukwasi. Mada sio hio changia mada
 
MUM nafikiri ni mahususi kwa ajili ya dini ya kiislamu. Course nyingine ni by chance. Sasa sioni ulazima wa TCU kuwa na mashiko hapo, unless TCU ina integrate na mambo ya dini
 
najua siyo vyote na kati ya vyuo ambavyo havimo ni hiki cha kwenye mada,na ninadhani ndio chuo pekee ambacho hakipo TCU cas.
je kwa nini hakimo?hii ndio mada.

Namaanisha sio vyuo vyote vinatumia utaratibu wa cas, mum ni chuo kikuu kinachotambuliwa na TCU. Utaratibu unaotumiwa na MUM ni utaratibu unaotambuliwa na TCU yaani mature age entry na utaratibu mwingine unaoitwa pre-entry qualification ambao mwanafunzi atafundishwa mwaka mzima atafanya mitihani nakudahiliwa endapo atafaulu. Sababu ya MUM kuto tumia cas nikwamba tcu hawafanyi selection kuzingatia dini ya mtu hivyo MUM walihofia kupelekewa wanafunzi wengi wasiwo wahitaji. Nafikiri nimeeleweka
 
mkuu Mshinga umewashika pabaya sana leo islamist extremist .hawana points za kukanusha maelezo yako.kwa sasa wanaongozwa na jazba tu.subiri wengine waamke uone balaa lake.nikupe tuu taadhari uwe mvumilivu kwa kashfa utakazo kutana nazo.
 
Last edited by a moderator:
mum hakuna kozi itolewayo before kuanza kusoma degree ....
Sababu ya kutojiunga na tcu ni kukifanya chuo kiwasaidie waislam wengi ambao wananyimwa fursa kimaksudi na vyuo vya umma .....

Mimi ni graduate wa mum... So nina ongea kitu nikijuacho

wananyimwa fursa kimakusudi ktk vyuo vya umma?how?explain pls.
 
mkuu Mshinga umewashika pabaya sana leo islamist extremist .hawana points za kukanusha maelezo yako.kwa sasa wanaongozwa jazba tu.subiri wengine waamke uone balaa lake.nikupe tuu taadhari uwe mvumilivu kwa kashfa utakazo kutana nazo.
hawa jamaa sijui huwa wanaongozwa na nini? nataka wakamlete mkubwa wao wa chuo aliyetoa maelezo na sababu zilizowafanya wakatae mfumo wa CASS aje akanushe ama akiri maelezo haya,na wale wanaokuja hapa wamevuta bangi ama wamekunywa viroba ama wanaongozwa na jazba ni udini mimi sitahangaika nao. na nitawataka walete sababu na kama hawajui wakae kimya
 
mum hakuna kozi itolewayo before kuanza kusoma degree ....
kwa hiyo mkuu wenu wa chuo alidanganya kwa kutoa sababu za uongo?

Sababu ya kutojiunga na tcu ni kukifanya chuo kiwasaidie waislam wengi ambao wananyimwa fursa kimaksudi na vyuo vya umma .....
haki ya nani waislamu wengi mtaendelea kukosa elimu kwa maneno haya mnayolishwa na kuyameza kama ngisi.

hakuna mwisilamu aliyenyimwa fursa ya kusoma chuo cha umma hata mmoja kwa kigezo cha uislamu wake.

udsm wapo kibao,udom wapo kibao,tena wengine wapo wanasoma kwenye vyuo vya makafiri na tunasoma nao huku vizuri.

kwa hiyo ile system ya TCU YA CASS ilitengenezwa kuwabaini waislamu na kuwanyima fursa?je hao waliochaguliwa kuingia vyuo vya umma wao walitumia tunguli ama nini maana kama system inawabagua basi hata mmoja asingepenya kuingia vyuo vya umma?

Mimi ni graduate wa mum... So nina ongea kitu nikijuacho
kwa hiyo unataka kusema sababu hizi ulizotoa ndizo ambazo mkuu wa chuo alisema kwa umma na kuzipeleka TCU KUWA WAISLAMU WANANYIMWA FURSA VYUO VYA UMMA?

hizo ni assumption za kijinga na kama ndivyo basi hizi ni sababu za nyuma ya pazia ambazo wewe ndo unazijua lakini mkuu wako wa chuo hakutaja kabisa sababu hii bali alitaja sababu niliyoieleza na kifupi ni kwamba wanachukua wanafunzi wengi ambao hawana sifa na ndio maana wakata wawachague wenyewe kwa kozi na kwa majina,jina likionekana ABDALLA TU basi una nafasi kubwa ya kupenya na kusoma.
 
Kwahiyo lengo ni kuwasaidia waislamu na sio uwezo wao? Huoni kwamba ni tatizo itakapokuja kwenye ajira? Huoni ni sawa na kuruka maji kwenda kukanyaga mkojo?!
 
Sasa kama walishasema sababu unatuulizia nini?
kweli nyinyi hamtumii akili zenu kabisa zaidi ya kukaririshwa mambo ya ajabu ajabu.

umekurupuka tuuuu!
wapi nimeuliza kutaka kujua sababu?unaweza kunionyesha?ama nina jadili mada na mtu aliyetoroka mirembe?

Eti unachunguza habari hutii chumvi!?
ni wapi nimetia chumvi?bainisha

Hicho kilichokusukuma kuandika hii habari ni chumvi tosha!
tatizo umekurupuka sana,sijui umepigiwa simu uje kuongeza nguvu na umeingia humu na speed bila hata kuangalia nani aliyeandika hii habari,mwisho wake umekuja kuniparamia mimi ambae si mwandishi wa habari hii,MIMI NI MCHANGIAJI TU KAMA WEWE,hebu angalia aliyeleta topiki ulinganishe na ID yangu na hata picha yangu si sawa na huyo mleta mada.
KWELI NYIE NI WAKURUPUKAJI,ONA SASA UMENIPARAMIA UKIDHANI MIMI NDIO NIMELETA MADA.
 

Pole kwa kuparamiwa!
 

mkuu hizo remedial za miezi kadhaa TCU walizipiga marufuku walisema kama mtu anafanya Remedial basi afanye mwaka mzima.
hata hivyo chuo kikikudahili lazima jina lako liende TCU kuthibitishwa na lazima utumie vigezo vya TCU na hata Muslim wanafuata vigezo vya TCU hawana vigezo vyao binafsi.
Ninachofikiri pengine hiki chuo kilifanya hivo ili kuendana na matakwa yao ambayo kwa sasa mimi siyajui
Halafu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…