Kwa nini Muslim University of Moro hawatumii Central Admission Syst (CAS)

Status
Not open for further replies.

thanks.

sitaweza kukujibu kwa ujumla maana huwa sipendi kujibu kwa kuruka ama kukwepa baadhi ya hoja,napenda kila sentesi yako ipate majibu ili mjadala uwee mzuri.
nikipata muda nitakuja kukujibu kwa haya maelezo yako kwa ukamilifu wake na kila sentensi ama kila hoja itapata majibu.
 

Kumbe mnajua anaitwa Yesu na kumbe co nabii issa na kumbe atarudi.. Mungu aturehemu amen
 
Last edited by a moderator:
mkuu mshinga umewashika pabaya sana leo islamist extremist .hawana points za kukanusha maelezo yako.kwa sasa wanaongozwa na jazba tu.subiri wengine waamke uone balaa lake.nikupe tuu taadhari uwe mvumilivu kwa kashfa utakazo kutana nazo.

unampa kicha kwenye hamna!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha fact chochote ulichopost hapo juu. Sema kuwa wewe unajiona duni mbele za wengine basi, fact fact kuna fact yoyote hapo!!!!!
Hii ni aibu nyingine kwa mtu wa level yako kuongea/kupost kitu kama hiki. Hivi hujui kuwa uwepo wa TCU umewapunguzia vijana gharama za kutumia fedha kuomba kila chuo, kumbuka application inahitaji pesa. Unataka kutuambia hawa vijana wa Kiislam ambao wako ktk vyuo tofauti na MUM wamependelewa au wamefika pale walipo kwa bahati nasibu au kwa kuwa wanastahili.

Hivi kwa mawazo yako unadhani Muslims students ni moja ya makundi maalum kama vile wanawake, vilema, albino, vipofu kwa hiyo wanahitaji upendeleo maalum? Ona aibu, chutuma, jifiche, tunaiona aibu yako mbona wapo wengi ktk vyuo vingine. TCU imekuwa msaada sana kwa wadau wanaoelewa
 
Hapo kwenye red.
Kwa hiyo na uwezo wako wa kufikiri unaishia hapo. Na kuna watu wanakusifu kuwa umesoma!!! au umeamua makusudi kujitia wazimu. Hao wenye akili ndogo kama ya panya ndiyo akina nani? Hicho ulichoandika kina uhusiano gani na mada tajwa? Heshimu utu wa watu, usiwadegrade hadi kiwango cha panya labda kama una agenda zingine. Ila ni jambo jema ufahamu kuwa sasa umekua kama ulikuwa hujaambiwa mimi nakuambia kuwa umekua acha kuwaza kama mtoto mdogo, thamini watu. Binadamu anastahili kushimiwa utu wake, acha dharau Kahtaan!!!!
 
MUM hapo nasikia shehe ponds nae no mhadhiri!
 
mkuu mshinga umewashika pabaya sana leo islamist extremist .hawana points za kukanusha maelezo yako.kwa sasa wanaongozwa na jazba tu.subiri wengine waamke uone balaa lake.nikupe tuu taadhari uwe mvumilivu kwa kashfa utakazo kutana nazo.

unampa kicha kwenye hamna!
 
Last edited by a moderator:

Kwanza nideclare interest kuwa mi ni muhitimu wa MUM BAED 2013. Kuhusu chuo husika kutojiunga na CAS ulitokana na maamuzi sahihi ya uongozi wa chuo ili kuepuka janga la kumwagiwa lundo la vijana wa vyoo vikuu na si vyuo vikuu. MUM wanatumia utaratibu wa mwanafunzi kujaza fomu ya chuo na kuweka sifa zake kitaaluma ambapo cut off point inawekwa na TCU.
kupitia form hizo hizo chuo huchagua wanafunzi kinaoona wanafaa badala ya kuletewa wanafunzi usokuwa hata na detail zao.
pia utaratibu huu huondoa mgogori wa wanafunzi kusoma chuo ambacho halikuwa chaguo lake.
kuhusu dhana mbovu kuwa chuo kinachukuwa wanafunzi waso na sifa hilo si kweli maana chuo kinapo select wanafunzi majina hutunwa TCU kwa ajili ya prooffing kabla ya kutolewa kwenye media.
Sana sana chuo kimeendelea kuchukua wanafunzi wenye uwezo mkubwa na kuwaandaa competently tofauti na 'vyoo vikuu vingine vya kata'.
IFIKE PAHALA MUACHE KASHFA NA UNAFIQ DHIDI YA UISLAM NA MAENDELEO YA WAISLAMU.
 

Nadhani ungelisoma toka mwanzo wa hizi post. Basi nadhani Badala ya kunilaumu ungenipongeza kuandika kuwa kuna viumbe wana akili kama ya Panya.

Believe you me.
 

ZA TANGU JANA KWANZA NDUGU YANGU..TUMSHUKURU MUNGU KWA KUTUAMSHA SALAMA...
......Just waiting for your answers mr. Mshinga...
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ungelisoma toka mwanzo wa hizi post. Basi nadhani Badala ya kunilaumu ungenipongeza kuandika kuwa kuna viumbe wana akili kama ya Panya.

Believe you me.
Hakuna binadamu mwenye akili ya panya Kahtaan!!!, Kwanini umdhalilishe binadamu mwenzako kwa kiwango hicho. Hivi kweli kwenye kozi za humanity ulizosoma, ndivyo ulivyofundishwa? Au ndiyo mafundisho ya dini yako yanavyokuelekeza? kama majibu ni ndiyo!!! basi kuna shida kubwa ktk jamii hiyp unayoishi wewe. Maana imekuwa too much, kila unapopost kebehi, bezo, dhihaka zinatawala dhidi ya kundi fulani la watu, kwako imekuwa kawaida hata pale mada haina mahusiano yoyote, wewe unashambulia kundi hilo kwanini? naomba unijibu maswali yangu machache yako hapa chini.

Historia inatuambia kuwa makatili wote waliopata kuishi katika uso wa nchi walitumia sana njia hiyo kuwadegrade fellow human beings to insects like bugs, cockroaches and to small animals like like rats. kumbuka lugha hiyo ilitumika sana kule Rwanda, Hitler aliitumia, Gadaffi aliitumia, kule Bosnia ilitumika. Sasa nakuuliza maswali: are you also in that group? or are you in a secret mission of cleasing a certain group of people on the land? Now, you are preparing your people psychologically so that when your project kicks off they should not feel like they are killing human beings but rather rats/insects. Naomba majibu yanayoeleweka sio mabezo au matusi, kama huo ndiyo ukweli wenyewe sema tu
 

Teh teh teh!
Young man I deal with people they way they approach me!
If you want respect you got show one first!
I never grow up in the society where foo.ls n deserve respects!! Ever!

Some human being DO ACT LIKE ANIMAL! and thats the fact!
And if you treat them like human beings I guarantee you they will spat in your face!

Didn't you hear that old saying in the good book!

PROVERB 26.

Honoring a fo.ol is as fo.olish as tying a stone to a slingshot

and those words suppose to be a words of God!

So mine is still very sweet and humble.
 

Hujajibu maswali yangu nilikuuliza, jibu maswali, acha dharau.
 
Mnamo siku ya Jumatatu historia iliwekwa katika
kanisa la Our Lady huko Presidio Francisco
jimboni California nchini Marekani.
Mtu mmoja aitwaye Paul Horner pichani mwenye
umri wa miaka 35 akiwa amevalia suti yake
nadhifu alifunga ndoa na mbwa wake mwaminifu
aitwaye Mac.
Mchungaji aliyefungisha ndoa hiyo Father McHale
alionyesha kufurahishwa kwake na kitendo cha
yeye kufungisha ndoa hiyo ya kihistoria nchini
Marekani.
Kwa habari zaidi bofya hapa:
http://nationalreport.net/california...imal-
marriage/ haya wagalatia unadhanbndo wanaakili kwa halihii
 
Hujajibu maswali yangu nilikuuliza, jibu maswali, acha dharau.

Najaribu kujadili na wewe kwa nidhamu. Tafadhali usinikaripie kama mtoto mdogo!.
Unauliza kama nina secret mission.
Halafu unategemea nikujibu" ndio ninayo!? Au hapana sina?

Come on!

Huongei na mtoto hapa! Kama huna la ziada ishia hapa.

Mtu asie na adabu au nidhamu basi kamwe siwezi kumuwekea nidhamu!

Na hio ni basic principle ya any sound minded person.

If you dont like. Tough!
 
Mnamo siku ya Jumatatu historia iliwekwa katika
kanisa la Our Lady huko Presidio Francisco
jimboni California nchini Marekani.
Mtu mmoja aitwaye Paul Horner pichani mwenye
umri wa miaka 35 akiwa amevalia suti yake
nadhifu alifunga ndoa na mbwa wake mwaminifu
aitwaye Mac.
Mchungaji aliyefungisha ndoa hiyo Father McHale
alionyesha kufurahishwa kwake na kitendo cha
yeye kufungisha ndoa hiyo ya kihistoria nchini
Marekani.
Kwa habari zaidi bofya hapa:
http://nationalreport.net/california...imal-
marriage/ hawa wagalatia ndio hizo akilizao na viongoz wao
 


Unasema hakuna watu wenye akili kama panya!
Hebu nipe comments zako kwa huyu mkristo aliamua KUOA MBWA!

help me out on this one. And if you have to decide between Humans society an RATS society where would you put this individual! ??

https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=597245
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=597245
 

mkuu heshima yako! Umenena vyema kwa mtizamo wangu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…