Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mataifa mengi huwa na vyakula vyao vya kipekee ambavyo ni kama sehemu ya utamudini wao kitaifa.
Wako walio na piza, mabaga, taco, shawarma, matoke, githeri, kimchi n.k. Nafikri kwa sisi Tanzania Chipsi mayai ndio chakula cha kipekee kinachotuunganisha kiutamudini Watanzania wote kama taifa na ambacho ni cha kipekee kwetu.
Wale wanaohangaika na vazi la kitaifa wanalo la kujifunza katika hilo jukumu lao la kutafuta kitu cha utamaduni kinachotuunganisha Watanzania wote ambacho ni Chipsi. Mvumbuzi wa Chips mayai/zege awekwe katika vitabu vya kumbukumbu vya historia na pia apewe tuzo.
Wako walio na piza, mabaga, taco, shawarma, matoke, githeri, kimchi n.k. Nafikri kwa sisi Tanzania Chipsi mayai ndio chakula cha kipekee kinachotuunganisha kiutamudini Watanzania wote kama taifa na ambacho ni cha kipekee kwetu.
Wale wanaohangaika na vazi la kitaifa wanalo la kujifunza katika hilo jukumu lao la kutafuta kitu cha utamaduni kinachotuunganisha Watanzania wote ambacho ni Chipsi. Mvumbuzi wa Chips mayai/zege awekwe katika vitabu vya kumbukumbu vya historia na pia apewe tuzo.