Kwa nini Mwabukusi amemteua swahiba wa Lissu, na hasimu wa serikali, Dk. Nshala afuatilie suala la Ngorongoro?

Kwa nini Mwabukusi amemteua swahiba wa Lissu, na hasimu wa serikali, Dk. Nshala afuatilie suala la Ngorongoro?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
 
Wewe ulitaka amteue nani??? Mbona mama anapoteua watu wanaotiliwa mashaka husemi chochote?? Tunaangalia ufanisi na weledi usilete uchama hapa! Tundulisu naye ni mtanzania ukiachilia mbali uanachama wake
 
Wewe ulitaka amteue nani??? Mbona mama anapoteua watu wanaotiliwa mashaka husemi chochote?? Tunaangalia ufanisi na weledi usilete uchama hapa! Tundulisu naye ni mtanzania ukiachilia mbali uanachama wake
Nshala ana uwezo gani? Huyo ni mwanasiasa tu
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Umewahi kuisoma CV ya Dr Nshala? Yawezekana kwenye ukoo wenu wote hakuna hata mtu mmoja anayeweza kufikia japo robo ya weledi wa huyo bwana.

Na ujinga mwingine uliouandika, sijui kuhusiana na matumizi ya pesa za TLS, hii taasisi siyo ya watu wajinga kama NEC ya CCM. Kule hakuna wizi wa pesa unaoweza kufanyika ukaachwa kama wanavyofanya CCM kwa sababu ni taasisi ya watu wenye weledi.

TLS kwa aina ya wanachama ilio nao haihitaji hata chembe ya ushauri kutoka kwa watu ambao hata ukiwaita wajinga, unakuwa umewapendelea sana.
 
Umewahi kuisoma CV ya Dr Nshala? Yawezekana kwenye ukoo wenu wote hakuna hata mtu mmoja anayeweza kufikia japo robo ya weledi wa huyo bwana.

Na ujinga mwingine uliouandika, sijui kuhusiana na matumizi ya pesa za TLS, hii taasisi siyo ya watu wajinga kama NEC ya CCM. Kule hakuna wizi wa pesa unaoweza kufanyika ukaachwa kama wanavyofanya CCM kwa sababu ni taasisi ya watu wenye weledi.

TLS kwa aina ya wanachama ilio nao haihitaji hata chembe ya ushauri kutoka kwa watu ambao hata ukiwaita wajinga, unakuwa umewapendelea sana.
Nshala kaitelekeza LEAT kwa dada mmoja ambaye ndiyo HR wa Taasisi. LEAT inakimbiwa na wanasheria vijana. Haina miradi yeyote ndiyo maana jamaa kaamua kuja kuganga njaa kwa Mwabukusi
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Kama serikali haiwezi toa ushirikiano ,je inaogopa nini ?alihali inasema huko pako shwari? Acheni uchochezi, hii ni fulsa kwa serikali kupata report huru ambayo inaweza kuisadia serikali kujisahihisha
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Hebu wewe tuambie vigezo vinavyofaa. Na ungependa nani ateuliwe kufanya hiyo kazi badala ya huyo aliyeteuliwa. Halafu jifunze kuleta hoja kama msomi.
 
Tuachie wasomi,.wakati tunaenda shule wewe ulikuwa unalalamika macho yanauma
Kumbe na wewe ni msomi? Sasa mbona unaleta hoja kama form four failure? Na wewe ni mfano wa ukweli kwamba elimu ya TZ inamuwezesha mtu kupata tu cheti lakini sio kumjengea uwezo mtu kuwa productive kwa jamii yake
 
Kwa hyo ulikua unataka mama ako au baba ako achaguliwe na angechaguliwa unafikiri angekua na guts kama za hawa jamaa Hata siku Moja harakati hazihitaji watu mauzindeuzinde kama nyie acha watu na Career zao wewe endelea kubwekabweka Jamii forum
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Sina kumbukumbu yoyote mahali kama uliwahi kutetea Haki za watu
 
Back
Top Bottom