Kwa nini Mwabukusi amemteua swahiba wa Lissu, na hasimu wa serikali, Dk. Nshala afuatilie suala la Ngorongoro?

Kwa nini Mwabukusi amemteua swahiba wa Lissu, na hasimu wa serikali, Dk. Nshala afuatilie suala la Ngorongoro?

Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Mbona mkuu wa mkoa fulani, nchi fulani, alitoka ukatibu mkuu wa chama fulani, akitajwa kuwa na kashfa akajiuzuru mwenyewe kisha mpaka sasa ni mkuu. Uliwahi kuhoji kwa nn mkuu wake kamteua?
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS
Wewe ni mpumbavu sana
 
Najua serikali inajua kwamba TLS wanaenda kufanya kazi ya uchochezi Ngorongoro, hivyo haitawaruhusu. Nshala ni mwanachadema kindakindaki

Dk. Nshala na Lissu walikuwa viongozi wa LEAT-Lawyers Environmental Action Team. Baadae walikula hela za taasisi kisha wakaiua. Taasisi hii ilitelekeza mali zake sehemu mbali mbali pamoja na samani za ofisi katika jengo la Nyanza Mwanza.

Sasa naina Mwabukusi ndio kamuweka akitarajia apate ushirikiano wa serikali, abadani, hataupata

Je, Mwabukusi anatumia vigezo gani kuwateua mawakili ambao ni rafiki zake wafanye kazi hizo, wanalipwa shilingi ngapi za TLS? Kwa nini kesi zinafungukiwa kwa fujo sasa hivi kama si mbinu za ulaji wa fedha za TLS.
Kwani Kuna shida wapiiii? Tindu lissu na Dr. Nshala kuwa miongoni mwa watu wanaofuatilia ngorongoro...lisssu hajaanza Leo kufuatilia issue ya ngorongor
 
Kwani Kuna shida wapiiii? Tindu lissu na Dr. Nshala kuwa miongoni mwa watu wanaofuatilia ngorongoro...lisssu hajaanza Leo kufuatilia issue ya ngorongor
Wanatumika
 
Watu wajibizane kwa hoja zenye mantiki badala ya kufikiria vyama.
Kweli ni kweli tu bila kujali inatoka CCM, Chadema, ACT,.....
Tunatakiwa kufundisha watoto na jamii nzima kuangalia mantiki kwenye hoja halafu vyama vifuate.
Watu au vyama vyenye hoja za kipuuzi visipewe nafasi.
 
Back
Top Bottom