Kwa nini Nyerere aliukataa Utanganyika akaruhusu Uzanzibar?

Kwa nini Nyerere aliukataa Utanganyika akaruhusu Uzanzibar?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania

Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
 

Attachments

  • MWALIMU_JULIUS_NYERERE_ALIMAANISHA_NINI_HAPA_JUU_YA_WAZANZIBARI._#innolighttv_#magufuli_#nyere...mp4
    1.1 MB
Mwl Nyerere ni chimbuko la matatizo mengi unayoyaona leo Tanganyika.

Tatizo kubwa kuliko yote ni katiba mbaya aliyoitengeneza kwaajili ya yake mwenyewe na ambayo alishindwa kurekebisha kabla hajaondoka madarakani.

Alipigania uhuru wa Tanganyika dhidi ya mkoloni,halafu yeye akawa mkoloni mweusi.
 
Chanzo cha matatizo alitaka kuwafanya wazenji wafuate sheria zao huko alikopewa maelekezo , zanzibar hata wangebaki kuwa huru hamna shida , ushirikiano ungebaki pale pale mbona kenya na nchi nyingine tunashirikiana fresh tu .

Jmaa huyu aliyemtuma kuunganisha zenji ni mtu wa ovyo . Mpaka leo huku bara kuna mapori kikao kuna haja gani ya kuunganisha na zenji wakati tuna eneo kubwa ... Huyu alitaka kubadili utawala wa kule ili wafuate mila za wazungu akashindwa.
 
Simple
Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania

Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
Simple':aliogopa upinzani Toka Tanganyika ikabidi aiue tanganyika
 
Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania

Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
Unajua tanzania mpaka leo watu wake wakiwa na vyeo,pesa au nguvu wanajiona wao ndio wana akili kuliko wengine.
we angalia wabunge pale wanacho kiongea mpaka unaweza kuona aibu
 
Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania

Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushaw
Mzanzibari, mchaga, msukuma, mhaya, mgogo mmakonde, mdigo, mpare, msambaa ni watu au kabila LA huo mkoa tu kwa hiyo sio ishu kuuubwa
 
Mwl Nyerere ni chimbuko la matatizo mengi unayoyaona leo Tanganyika.

Tatizo kubwa kuliko yote ni katiba mbaya aliyoitengeneza kwaajili ya yake mwenyewe na ambayo alishindwa kurekebisha kabla hajaondoka madarakani.

Alipigania uhuru wa Tanganyika dhidi ya mkoloni,halafu yeye akawa mkoloni mweusi.
Sidhani kama akishindwa kurekebisha Katiba! Aliamua tu, ingawa alijua ni Katiba mbovu sana.
 
Nyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!

Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport zao zimeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!! Elimu ni muhimu sana.
The guy was super smart!!
Nyerere alikuwa na akili kubwa ? mpya hii
 
Nyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!

Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport imeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!!
The guy was super smart!!
Hii pointi yako Ingekuwa na mashiko zaidi kama Wanzazibar wasingukuwa wanatawala hadi Tanganyika, lakini haiko hivyo kwani Wanzanzibar wanaweza kuwa watawala pande zote mbili.
 
Nyerere alikuwa mbinafsi.Yaani aliona sifa yeye kuwa Rais wa Tanzania. Unafikiri Abeid angelazimisha yeye ndo awe Rais wa Tanzania,Nyerere angekubali muungano.Nyerere alipenda sana madaraka.Tena alipenda kutawala hata Africa nzima basi tu.Nyerere ubinafsi wake wa kupenda madaraka ndo umetufukisha hapa hadi tunatawaliwa na kina Abdul na mama yake.
 
Nyerere alikiri hadharani kwamba kuna vitu alikosea yeye kama yeye na/au serikali na chama chake.Akatuachia uamuzi wa kubadilisha,kuboresha na kuanzisha mengine mengi.Sioni haja ya kutumia muda mwingi kujadili makosa badala ya kuchukua uamuzi na kutenda kadiri ya matakwa na mahitaji ya muda.Sioni.
Na,ikumbukwe,alishauri kwamba tuchukue yaliyo mazuri na yaliyo mabaya tuyaache.Huko kulikuwa ni sawa kabisa mtu mzima kutubu hadharani kiutu uzima.Sasa kushinda siku nzima kulaani,kushitumu,kumtukana na kumbeza ni wehu huo.
 
Nyerere alikiri hadharani kwamba kuna vitu alikosea yeye kama yeye na/au serikali na chama chake.Akatuachia uamuzi wa kubadilisha,kuboresha na kuanzisha mengine mengi.Sioni haja ya kutumia muda mwingi kujadili makosa badala ya kuchukua uamuzi na kutenda kadiri ya matakwa na mahitaji ya muda.Sioni.
Yeye ndiye alitakiwa atengeneze msingi imara kama founding father kuwapa wepesi wale waliofuatia.
 
Yeye ndiye alitakiwa atengeneze msingi imara kama founding father kuwapa wepesi wale waliofuatia.
Sawa.Lakini,tuelewe na litukae vichwani,hakufanya hayo ya matarajio yetu.Kukosea kwake kusitufanye tutumie muda vibaya.Tujisahihishe.Wakati ni huu.
 
Nyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!

Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport zao zimeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!! Elimu ni muhimu sana.
The guy was super smart!!
Kuruhusu Tanganyika kutawaliwa na Zanzibar ndiyo usmart?

Labda sijakuelewa!
 
Back
Top Bottom