GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania
Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania
Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?