GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Simple':aliogopa upinzani Toka Tanganyika ikabidi aiue tanganyikaKwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania
Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
Unajua tanzania mpaka leo watu wake wakiwa na vyeo,pesa au nguvu wanajiona wao ndio wana akili kuliko wengine.Kwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania
Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushawishi kumzidi?
Nyerere alichukia wakoloni weupe sio kwamba alichukia ukoloni.Alipigania uhuru wa Tanganyika dhidi ya mkoloni,halafu yeye akawa mkoloni mweusi.
Mzanzibari, mchaga, msukuma, mhaya, mgogo mmakonde, mdigo, mpare, msambaa ni watu au kabila LA huo mkoa tu kwa hiyo sio ishu kuuubwaKwa mujibu wa clip:
1. Anajinasibu kwa Utanzania na si Utanganyika
2. Anakiri kuwa Wazanzibar ni Wazanzibar
3. Inaonekana kuna watu walitamani ajitambulishe kwa Utanganyika lakini yeye akaamua kukomaa na Utanzania
Kama Wazanzibar waliweza kubaki na Uzanzibar wao, kwa nini yeye aliukana Utanganyika wake? Wazanzibar walikuwa na nguvu ya ushaw
Sidhani kama akishindwa kurekebisha Katiba! Aliamua tu, ingawa alijua ni Katiba mbovu sana.Mwl Nyerere ni chimbuko la matatizo mengi unayoyaona leo Tanganyika.
Tatizo kubwa kuliko yote ni katiba mbaya aliyoitengeneza kwaajili ya yake mwenyewe na ambayo alishindwa kurekebisha kabla hajaondoka madarakani.
Alipigania uhuru wa Tanganyika dhidi ya mkoloni,halafu yeye akawa mkoloni mweusi.
Uzi unataka/unatulazimisha tumjibie maswali Nyerere.Leo mbona tutakoma kuringa!Sio rahisi kupata majibu ya hili jambo
Nyerere alikuwa na akili kubwa ? mpya hiiNyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!
Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport zao zimeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!! Elimu ni muhimu sana.
The guy was super smart!!
Hii pointi yako Ingekuwa na mashiko zaidi kama Wanzazibar wasingukuwa wanatawala hadi Tanganyika, lakini haiko hivyo kwani Wanzanzibar wanaweza kuwa watawala pande zote mbili.Nyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!
Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport imeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!!
The guy was super smart!!
Yeye ndiye alitakiwa atengeneze msingi imara kama founding father kuwapa wepesi wale waliofuatia.Nyerere alikiri hadharani kwamba kuna vitu alikosea yeye kama yeye na/au serikali na chama chake.Akatuachia uamuzi wa kubadilisha,kuboresha na kuanzisha mengine mengi.Sioni haja ya kutumia muda mwingi kujadili makosa badala ya kuchukua uamuzi na kutenda kadiri ya matakwa na mahitaji ya muda.Sioni.
Sawa.Lakini,tuelewe na litukae vichwani,hakufanya hayo ya matarajio yetu.Kukosea kwake kusitufanye tutumie muda vibaya.Tujisahihishe.Wakati ni huu.Yeye ndiye alitakiwa atengeneze msingi imara kama founding father kuwapa wepesi wale waliofuatia.
Kuruhusu Tanganyika kutawaliwa na Zanzibar ndiyo usmart?Nyereri alihofia zenji kumezwa na Tanganyika na hiyo ingemletea upinzani sana kwenye ufalme wake toka kwa wapemba, kwahiyo akawachagulia wale jamaa kitu kinaitwa indirect rule, yaani kule jambiani wako huru wanaruka ruka kwa furaha na kula urojo na pweza ila wakichoka na kutaka kutoka ndo wanashtuka kumbe wako ndani ya uzio wa mizinga na makombora!
Hakuna faida yoyote kung'ang'ania uTanganyika ukiwa mTanzania, it is something philosophical , sisi si kama wale ndugu zetu wanavyolazimisha utambulisho wao huku passport zao zimeandikwa Tanzania. Ni akili kubwa tu ya mchonga meno, yaani waache tu washikilie kitu kisichotumika!! Elimu ni muhimu sana.
The guy was super smart!!