Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislamu unalazimisha mtu kuamini wanaofaidi hiyo dini wanachokiaminiAliyetoa fatwa hiyo ni nani na anacheo gani katika Uislamu ?Na waislamu asilimia ngapi wanajali hilo ?
Fanya utafiti mfupi ,pitia nyumba jirani halafu taja jina hilo katika nyumba kumi ukipata hata nyumba 2 zinazomjua huyo mtu najitoa Jf.
Uislamu unalazimisha mtu kuamini wanaofaidi hiyo dini wanachokiamini
Huyo Rushdie lazima tutamuua tu. Tulimkosa kosa pale NewYork, lakini mwisho wake waja.Kama Lugha ya Kiingereza ipo kwako na unaielewa. Msome SALMAN RUSHDIE KATIKA KITABU CHAKE CHA AYA ZA KISHETANI.
Aliyetoa fatwa hiyo ni nani na anacheo gani katika Uislamu ?Na waislamu asilimia ngapi wanajali hilo ?
Fanya utafiti mfupi ,pitia nyumba jirani halafu taja jina hilo katika nyumba kumi ukipata hata nyumba 2 zinazomjua huyo mtu najitoa Jf.
If that is the case, unamwekeaje mtu fatwa eti kakufuru.yeye haamini uwepo wa Mohamed , au anamuona Mohamed in another face, iweje unamuua eti amekufuru?View attachment 2449546
Mtume Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah) alipokuwa madini aliishi na wayahuhidi wote waliowahi salama chini ya utawala wa kiislamu wala hakulazimishwa kuamini wala kuuwawa vilevile .
Nadhani wewe umri wako ni mdogo kuna mambo mengi huyafahamu. Mengi sana.naamini humu JF utajifunza.Aliyetoa fatwa hiyo ni nani na anacheo gani katika Uislamu ?Na waislamu asilimia ngapi wanajali hilo ?
Fanya utafiti mfupi ,pitia nyumba jirani halafu taja jina hilo katika nyumba kumi ukipata hata nyumba 2 zinazomjua huyo mtu najitoa Jf.
View attachment 2449546
Mtume Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah) alipokuwa madini aliishi na wayahuhidi wote waliowahi salama chini ya utawala wa kiislamu wala hakulazimishwa kuamini wala kuuwawa vilevile .
Kabisa..... Na hili unapolisema nakuelewa vizuri kabisa. 😂😂😂😂😂Huyo Rushdie lazima tutamuua tu. Tulimkosa kosa pale NewYork, lakini mwisho wake waja.
We acha tu.... Mtoa Fatwa alitangulia kabla ya mtolewa. Je kauli ya Makamba inahusika hapa?Fatwa ilitolewa na Supreme Leader Ayatollah Ruhollah Khomeini wa Iran mwaka 1989. Ayatollah mwenyewe ashafariki na Rushdie bado anavuta upepo
If that is the case, unamwekeaje mtu fatwa eti kakufuru.yeye haamini uwepo wa Mohamed , au anamuona Mohamed in another face, iweje unamuua eti amekufuru?
Fafanua kidogohivi hapa africa na warabu morroco kuna mganga wa kikristo
We juha ni wapi uislam umejaa ghiliba?
Kote.... Ni fulll Ghirba. Unafiq, Uongo,Uzinzi,Uporaji na UshetaniWe juha ni wapi uislam umejaa ghiliba?
Wanted to tell him the same thing.Nadhani wewe umri wako ni mdogo kuna mambo mengi huyafahamu. Mengi sana.naamini humu JF utajifunza.
Unamfahamu Ayatollah Ruhollah Khomeini? Msome. Then msome Salman Rushdie. Naamini unapenda Elimu na una Uelewa mzuri. Baadaye utakuja kuwa na Uelewa mkubwa sana ukiwa na spirit ya kujifunza.
Anaonekana ana umri mdogo ila ana uelewa flani hivi akitulia akajifunza atayafahamu mengi. Nadhani pia huyu dogo hata shule ameenda kiasi flani basi tu ndo alijikuta muislam na haufahamu sana uislamu. Kama akiufaham sana. Atapata muda wa kutafakari. Mambo mengi amefichwa hayafahamu.Wanted to tell him the same thing.