TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
cable za nini tumia wireless!!!Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city
Mbona unakomalia bilioni...una mzigo nini una force tender!( jokes)Waanze na camera walau 10 kwanza kwenye strategic traffic lights, hawana pesa? Ni bilioni ngapi kwani kufunga Camera 10?
Kuna miaka wakati Mahita ni IGP zilifungwa mpaka Manzese Darajani na pale Airtel HQ sasa hivi(wakati Njenje wanapiga mziki pale) baadae zikatolewa na mpaka leo akuna kitu-Huawei walijitolea kufunga CCTV miji mikubwa Yote Bure! Awakupata Ushirikiano unaotakiwa kama waliopata Kenya(sasa hv Nairobi kwa mfano Gaidi ambae yupo kwenye database ya FBI/Mosad akiingia to NRB wahusika wote wanapata notification na location yake!!Hapa mara ya Mwisho Magaidi walipotaka Lipuwa Masaki na Slipy way!Mossad wakaamuwa kuwaambia USA embassy ya Dar kutoa Tangazo🤣🤣Wakati huo Magaidi wote waliokuwa kwenye misheni wameshawavisha Kanga!Kwa waliowahi kununua CCTV camera tunaomba mtusaidia, hivi set moja inauzwa bilioni ngapi kwani? Maana hadi serikali imeshindwa kununua walau seti kumi tu za kufunga kwenye mataa kama ya Mwenge, Morroco Nk, inamaanisha zitakuwa ni bei mbaya sana. Seti moja inauzwa Trillioni ngapi kwani?
Security should be a priority.Camera za kuweka mji mzima sio kama za kuweka nyumba moja
Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city
Wataalamu wa kufanya monitoring na repair pia backup server ya kutunza matukio atleast ya mwaka mmoja hapa unahitaji storage kubwa sana za data tena nadhani hichi kinawezekana ni vile hakina kipaumbele wakileta hii agenda utaskia shule hazina madawati sijui wapi hakuna maji na bla bla zingine
Hivyo vitu vya bure hata mimi siafiki, ni hatari kwa usalama wetuKuna miaka wakati Mahita ni IGP zilifungwa mpaka Manzese Darajani na pale Airtel HQ sasa hivi(wakati Njenje wanapiga mziki pale) baadae zikatolewa na mpaka leo akuna kitu-Huawei walijitolea kufunga CCTV miji mikubwa Yote Bure! Awakupata Ushirikiano unaotakiwa kama waliopata Kenya(sasa hv Nairobi kwa mfano Gaidi ambae yupo kwenye database ya FBI/Mosad akiingia to NRB wahusika wote wanapata notification na location yake!!Hapa mara ya Mwisho Magaidi walipotaka Lipuwa Masaki na Slipy way!Mossad wakaamuwa kuwaambia USA embassy ya Dar kutoa Tangazo🤣🤣Wakati huo Magaidi wote waliokuwa kwenye misheni wameshawavisha Kanga!
Those days kulikuwa na Wachina zaidi ya 1M. With their Business hapa Tz! Tusiongee mengi hapa.TUNAJUA MENGIHivyo vitu vya bure hata mimi siafiki, ni hatari kwa usalama wetu
Hapo sawa,pori c unajua linavitoweoBasi pori la hifadhi la Watawala
Wanunue ili wakikimbia na maboksi ya kura tuwaone? Au wakituchapa marisasi ya moto wakati wa maandamano ya amani waonekane??
Ila tuna Polisi wa ajabu mno, sijawahi kuona umuhimu wa Polisi Kwa Tanzania. Nnaona kama kichaka fulani cha CCM
Kipindi Mo ametekwa, CCTV camera binafsi ndio zilitumika, zingekuwepo na kwenye mataa uchunguzi ungekuwa rahisi sana, mambo ya ajabu sana haya!
SawaNenda wewe basi kajiunge na jeshi la polisi tukuone!
Duuuuuh hatari hii ilitokea wapi tena mbona hili tukio halikusikika kabisa au jamaa kwa sababu hapa waliharibu wao basi wakaamua kuficha tukio kabisa watu wasijue...!Polisi wenyewe ndio hawa?? Dereva wa lory kaniudhi mno, kashindwa kutumia nafasi adimu kama hii, kweli?
View attachment 2013278
View attachment 2013279
View attachment 2013280
View attachment 2013281
View attachment 2013282
View attachment 2013283
View attachment 2013284
View attachment 2013285
Achana porojo, ukweli ni kwamba hazitakiwi ili zisijekuharibu michongo yao full stop.Camera za kuweka mji mzima sio kama za kuweka nyumba moja
Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city
Wataalamu wa kufanya monitoring na repair pia backup server ya kutunza matukio atleast ya mwaka mmoja hapa unahitaji storage kubwa sana za data tena nadhani hichi kinawezekana ni vile hakina kipaumbele wakileta hii agenda utaskia shule hazina madawati sijui wapi hakuna maji na bla bla zingine
Ana digiriiiiiiiiii PGO hairuhusu.Nenda wewe basi kajiunge na jeshi la polisi tukuone!
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]Kuna miaka wakati Mahita ni IGP zilifungwa mpaka Manzese Darajani na pale Airtel HQ sasa hivi(wakati Njenje wanapiga mziki pale) baadae zikatolewa na mpaka leo akuna kitu-Huawei walijitolea kufunga CCTV miji mikubwa Yote Bure! Awakupata Ushirikiano unaotakiwa kama waliopata Kenya(sasa hv Nairobi kwa mfano Gaidi ambae yupo kwenye database ya FBI/Mosad akiingia to NRB wahusika wote wanapata notification na location yake!!Hapa mara ya Mwisho Magaidi walipotaka Lipuwa Masaki na Slipy way!Mossad wakaamuwa kuwaambia USA embassy ya Dar kutoa Tangazo[emoji1787][emoji1787]Wakati huo Magaidi wote waliokuwa kwenye misheni wameshawavisha Kanga!
Tanzania: IGP Sirro asema jeshi lake lilipata fununu za tishio la ugaidi kabla Ubalozi wa Marekani - BBC News Swahili
Vyombo vya ulinzi vinafuatilia kwa makini tishio la ugaidi Dar es Salaam, asema IGP Simon Sirro.www.bbc.com
Hawazitaki kabisaMbona Dodoma walizing'oa kwenye majengo ya serikali na walinzi wakaondolewa.
Ana digiriiiiiiiiii PGO hairuhusu.
Four years for fighting food labda
Raia tunazitaka, uonevu wa matrafiki umezidiHawazitaki kabisa
Polisi wenyewe ndio hawa?? Dereva wa lory kaniudhi mno, kashindwa kutumia nafasi adimu kama hii, kweli?
View attachment 2013278
View attachment 2013279
View attachment 2013280
View attachment 2013281
View attachment 2013282
View attachment 2013283
View attachment 2013284
View attachment 2013285