Kwa nini Serikali inashindwa kufunga CCTV camera kwenye mataa?

Kwa nini Serikali inashindwa kufunga CCTV camera kwenye mataa?

Kwa waliowahi kununua CCTV camera tunaomba mtusaidia, hivi set moja inauzwa bilioni ngapi kwani? Maana hadi serikali imeshindwa kununua walau seti kumi tu za kufunga kwenye mataa kama ya Mwenge, Morroco Nk, inamaanisha zitakuwa ni bei mbaya sana. Seti moja inauzwa Trillioni ngapi kwani?
Milioni moja na laki tano njoo unilipe nikafunge mataq yoyote unayotaka
 
Camera za kuweka mji mzima sio kama za kuweka nyumba moja

Unahitaji camera za outdoor zenye quality kubwa unahitaji cabling ya kutosha ya umeme na backup pia kwa mji mzima pia unahitaji cabling ya mji mzima na data center kubwa ya ku monitor the whole city

Wataalamu wa kufanya monitoring na repair pia backup server ya kutunza matukio atleast ya mwaka mmoja hapa unahitaji storage kubwa sana za data tena nadhani hichi kinawezekana ni vile hakina kipaumbele wakileta hii agenda utaskia shule hazina madawati sijui wapi hakuna maji na bla bla zingine
Una undugu na Shigongo(MB) mkuu?
 
Security should be a priority.
Mbona Kipara katumia bilions kwa vitu ya ajab ajab na hatusemi kitu.
314B kwenye katiba ilioishia hewani na hakuna wakuulizwa.

We need total reforms of our country kiukweli
Naomba tafadhali chanzo cha taarifa yako kwamba mchakato wa katiba mpya uliokufa ulitumia 314 billion shillings.
 
 
Back
Top Bottom