Kwa nini Serikali inashindwa kufunga CCTV camera kwenye mataa?

Milioni moja na laki tano njoo unilipe nikafunge mataq yoyote unayotaka
 
Una undugu na Shigongo(MB) mkuu?
 
Security should be a priority.
Mbona Kipara katumia bilions kwa vitu ya ajab ajab na hatusemi kitu.
314B kwenye katiba ilioishia hewani na hakuna wakuulizwa.

We need total reforms of our country kiukweli
Naomba tafadhali chanzo cha taarifa yako kwamba mchakato wa katiba mpya uliokufa ulitumia 314 billion shillings.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…