kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 79
simply bcoz wanaume wanaboa saaaaaaaaaaaaaaana ol da tyme WENGI WAO na kuna wachache ambao ni km malaika vile wanavyojua kutreat mwanamke!
ukisema utulie nayeye na umuendo km yeye mfalme stl atakuboa tu atajifanya asense kitu na kukulipa mabaya so da solution iliyopo ni part tyme game o waume za watu ambao automatically ni part tyme n short tym as it is
lakin awa mabofrend wetu awa wamtumba kwa kuboa magalfrend weeeeeeeeeeeee hawafai.......!!!!!!!!!!!!1
kuish single smtmes z wealth snce its stress free compare to mastress ambayo binadamu mwenzako makusudikally anakuletea bila huruma ili tu roho ikuume!!!!!
thou mungu apend cz kasema muijaze dunia so kuolewa ni muhimu bt mmh.........wanaume makorokocho!!!!!!!!!!!
Hapa haongei mtu yanaongea majeraha. Pole, naona yamekukuta yakukukuta. Wanaume si makorokocho. Avoid generalization. Shida siku hizi wanawake wengi (sio wote) wanajirahisi sana mpaka thamani yao inapungua. Ukitulia na kujiheshimu lazima upate mme (nasema tena lazima). Lakini ukiwa mwarumwaru wavulana watakuchezea na kukuacha na baadae una-generalize kuwa wanaume ni makorokocho. Hakuna mwanaume anayependa kuoa mke mwarumwaru. Lakini kwa wale wanaopiga part-time mwarumwaru si taabu maana anajua ni temporary service.