matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo.
Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.
Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.
Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.
Wajuvi hii kitu imekaaje.?
Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.
Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.
Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.
Wajuvi hii kitu imekaaje.?