kwa nini siku hizi watu wengi wanaumwa vidonda vya tumbo na UTI kuliko miaka ya 2000 kurudi nyuma?

kwa nini siku hizi watu wengi wanaumwa vidonda vya tumbo na UTI kuliko miaka ya 2000 kurudi nyuma?

Unaongelea umakini upi wa Afya?,....au we mwenzetu haupo tz?🤔🤔
Unafuu wa umakini sio umakini asilimia mia mkuu. Mimi nimo humuhumu mkuu ila nashangaa hii kitu inasambaa kwa kasi sana
 
Unafuu wa umakini sio umakini asilimia mia mkuu. Mimi nimo humuhumu mkuu ila nashangaa hii kitu inasambaa kwa kasi sana
naongea kwa herufi kubwa,....HAKUNA UMAKINI WA AFYA,.. wabongo wengi hawayamudu matitabu(gharama),..wahudumu wa afya wapo careless,...hii imewafanya wengi kukomaa na magonjwa yao majumbani mpaka atakapozidiwa,.....
 
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo.

Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.

Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.

Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.

Wajuvi hii kitu imekaaje.?
Hospital zinafanya biashara. Kama vidonda vya tumbo ni wengi sana wanabambikiwa huu ugonjwa. UTI nao siyo ugonjwa common kwa wanaume na nashangaa sana kusikia wanawaume wanalalamika kuugua UTI kwa kiwango cha sasa.
 
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo.

Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.

Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.

Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.

Wajuvi hii kitu imekaaje.?
Ongezeko la UTI linatokana na watu kushobokea sana ufirauni. Namaanisha watu wamekuwa wanaendekeza ufurwaji na ufiraji kwa kiwango cha juu.

Bacteria wanao sababisha UTI wanaishi kwenye njia ya haja kubwa. Hivyo bacteria hao wanapatikana kwenye kinyesi cha binadamu. Wakiingia kwenye njia ya mkojo tu unapata maambukizo na ugonjwa wa UTI.

Wanaume akimuingilia mwanamke kinyume na maumbile hubeba ma elfu ya bacteria hawa na baadhi hupenya kwenye tundu la mkojo na kusababisha UTI. Pia anapo mwingilia mwanamke baada ya kutoa kwenye njia ya haja kubwa bila kujisafisha vizuri humwambukiza mwanamke hawa bacteria ukeni na kusababisha UTI.
 
Hospital zinafanya biashara. Kama vidonda vya tumbo ni wengi sana wanabambikiwa huu ugonjwa. UTI nao siyo ugonjwa common kwa wanaume na nashangaa sana kusikia wanawaume wanalalamika kuugua UTI kwa kiwango cha sasa.
Alafu wanasema havina dawa. Hilo neno vidonda vya tumbo havina dawa, limeibua wale wa tasnia ya tiba asilia wao wanasema wamegundua dawa, na wanakula vichwa vya kutosha.
Mimi huwa sielewi aisee. Wataalam wanaweza kutufahamisha zaidi. Mbona kama vile vidonda vinakolezwa sana?
 
Ongezeko la UTI linatokana na watu kushobokea sana ufirauni. Namaanisha watu wamekuwa wanaendekeza ufurwaji na ufiraji kwa kiwango cha juu.

Bacteria wanao sababisha UTI wanaishi kwenye njia ya haja kubwa. Hivyo bacteria hao wanapatikana kwenye kinyesi cha binadamu. Wakiingia kwenye njia ya mkojo tu unapata maambukizo na ugonjwa wa UTI.

Wanaume akimuingilia mwanamke kinyume na maumbile hubeba ma elfu ya bacteria hawa na baadhi hupenya kwenye tundu la mkojo na kusababisha UTI. Pia anapo mwingilia mwanamke baada ya kutoa kwenye njia ya haja kubwa bila kujisafisha vizuri humwambukiza mwanamke hawa bacteria ukeni na kusababisha UTI.
Hao bakteria hawapo kwa wazungu au hao wako vizuri kujikinga maana sijawahi kusikia janga la U.T.I US au UK wakati huko karibu nchi nzima ni mafirauni.
 
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo.

Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.

Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.

Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.

Wajuvi hii kitu imekaaje.?
Kuhusu vidonda vya tumbo chanzo ni vitu vitatu
1. Msongo wa mawazo/stress. Maisha yamekuwa magumu hivyo kufanya watu wengi kuwa na msongonwa mawazo hatimaye kupata vidonda vya tumbo. Msongo wa mawazo husababisha mwili kuwa acidic.

2. Lishe duni. Ugumu wa maisha husababisha watu kupata mlo mmoja kwa siku badala ya milo mitatu. Hivyo kufanya tumbo kuwa empty muda mwingi na kuwa rahisi kushambuliwa na acid

3. Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu kama asprin na panadol. Mtu hajala vizuri, hivyo kufika jioni kichwa kinauma kutokana na upungufu wa sukari mwilini anabugia dawa za maumivu ili alale. Style hii ya maisha mwisho wa siku husababisha ugonjwa wa vidonda vya tumbo.
 
Mimi ninavyo (H.P) Ila sina mpango wa kutafuta dawa hapa bongo maana upogaji Ni mwingi haswa, Hadi hivi Sasa nimeisha pogwa zaidi ya 300,000 bila mafanikio.
 
Kuhusu vidonda vya tumbo chanzo ni vitu vitatu
1. Msongo wa mawazo/stress. Maisha yamekuwa magumu hivyo kufanya watu wengi kuwa na msongonwa mawazo hatimaye kupata vidonda vya tumbo. Msongo wa mawazo husababisha mwili kuwa acidic.

2. Lishe duni. Ugumu wa maisha husababisha watu kupata mlo mmoja kwa siku badala ya milo mitatu. Hivyo kufanya tumbo kuwa empty muda mwingi na kuwa rahisi kushambuliwa na acid

3. Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu kama asprin na panadol. Mtu hajala vizuri, hivyo kufika jioni kichwa kinauma kutokana na upungufu wa sukari mwilini anabugia dawa za maumivu ili alale. Style hii ya maisha mwisho wa siku husababisha ugonjwa wa vidonda vya tumbo.
Asante sana.
Lakini mkuu huo umasikini zamani ulikuwa mkubwa kuliko sasa. Kwa nini kipindi hiki na sio miaka ya nyuma
 
Hao bakteria hawapo kwa wazungu au hao wako vizuri kujikinga maana sijawahi kusikia janga la U.T.I US au UK wakati huko karibu nchi nzima ni mafirauni.
Wewe umelinganisha data za wazungu na waafrika na kuona kuna tofauti kubwa? Lakini pia wazungu wanazingatia usafi wakati wa tendo kinyume na maumbile kuliko wabongo. Google neno enema, enema kit kwa kujielemisha zaidi
 
Asante sana.
Lakini mkuu huo umasikini zamani ulikuwa mkubwa kuliko sasa. Kwa nini kipindi hiki na sio miaka ya nyuma
Zamani umaskini ulikuwa ni sehemu ya maisha. Hakuna aliyepata msongo wa mawazo kwa sababu ya umaskini. Wote walikuwa sawa na ndo maisha waliyokuwa nayo na wali enjoy. Hakukuwa na matabaka makubwa kati ya walionacho na wasio nacho kama leo.
 
Mimi ninavyo (H.P) Ila sina mpango wa kutafuta dawa hapa bongo maana upogaji Ni mwingi haswa, Hadi hivi Sasa nimeisha pogwa zaidi ya 300,000 bila mafanikio.
Hasa tiba asilia ndio balaa. Kuna mmoja kwenye group la whatsapp aliwahi kujinadi amebuni dawa ambayo siku tatu vinaisha. Tulimbana kwelikweli hadi tukamtafutia mgonjwa wa demo ili ifanye kazi. Akaahidi ili kulinda heshima qtamtibu bure, alikimbia hadi leo. Uongouongo ni mwingi sana kwenye hilo gonjwa natamani kupata basics zake ili ikitokea watu wangu wa karibu wanahiyo shida nihakikishe nakuwa na taarifa sahihi kuepusha kupigwa kijinga.
 
Wewe umelinganisha data za wazungu na waafrika na kuona kuna tofauti kubwa? Lakini pia wazungu wanazingatia usafi wakati wa tendo kinyume na maumbile kuliko wabongo. Google neno enema, enema kit kwa kujielemisha zaidi
Asante.
 
Zamani umaskini ulikuwa ni sehemu ya maisha. Hakuna aliyepata msongo wa mawazo kwa sababu ya umaskini. Wote walikuwa sawa na ndo maisha waliyokuwa nayo na wali enjoy. Hakukuwa na matabaka makubwa kati ya walionacho na wasio nacho kama leo.
Umeandika vyema mkuu
 
Kuhusu vidonda vya tumbo chanzo ni vitu vitatu
1. Msongo wa mawazo/stress. Maisha yamekuwa magumu hivyo kufanya watu wengi kuwa na msongonwa mawazo hatimaye kupata vidonda vya tumbo. Msongo wa mawazo husababisha mwili kuwa acidic.

2. Lishe duni. Ugumu wa maisha husababisha watu kupata mlo mmoja kwa siku badala ya milo mitatu. Hivyo kufanya tumbo kuwa empty muda mwingi na kuwa rahisi kushambuliwa na acid

3. Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu kama asprin na panadol. Mtu hajala vizuri, hivyo kufika jioni kichwa kinauma kutokana na upungufu wa sukari mwilini anabugia dawa za maumivu ili alale. Style hii ya maisha mwisho wa siku husababisha ugonjwa wa vidonda vya tumbo.
Hii point Namba moja na Namba mbili ni za uongo mkubwa. Huwezi kupata vidonda vya tumbo kwa mawazo au kula mlo mmoja kwa siku,,,
 
Ukichukua watu kumi wa mjini ni nadra sana kukuta kati yao hakuna mmoja ambaye hasumbuliwi na vidonda vya tumbo.

Mara ya kwanza nasikia kuna ugonjwa unaitwa UTI ilikuwa 2008 kwa mdau wangu mmoja jijini DSM.

Cha kushangaza miakq ya hivi karibuni imekuwa kama fasheni hasa vijana wa kike na wa kiume kusumbulliwa na UTI.

Tatizo ni nini, hasa vidonda vya tumbo hadi watoto wadogo wa shule ya msingi.

Wajuvi hii kitu imekaaje.?
Kwa sababu zamani mambo ya mitandao yalikuwa analojia. Sasa hivi habari za magonjwa na ugonjwa unazipata popote. Hayo magonjwa yalikuwepo kama kawaida​
 
Hasa tiba asilia ndio balaa. Kuna mmoja kwenye group la whatsapp aliwahi kujinadi amebuni dawa ambayo siku tatu vinaisha. Tulimbana kwelikweli hadi tukamtafutia mgonjwa wa demo ili ifanye kazi. Akaahidi ili kulinda heshima qtamtibu bure, alikimbia hadi leo. Uongouongo ni mwingi sana kwenye hilo gonjwa natamani kupata basics zake ili ikitokea watu wangu wa karibu wanahiyo shida nihakikishe nakuwa na taarifa sahihi kuepusha kupigwa kijinga.
Umenikumbusha Ile dawa ya laki unusu
 
Back
Top Bottom