Undisputed Hustler
JF-Expert Member
- Oct 8, 2020
- 462
- 1,235
Hii U.T.I inabidi liwe gonjwa la zinaa sasa kama wameanza kujifichia huku.Mara nyingi ni tafsida tu inatumika kupunguza ukali wa maneno.
Hawa Generation Z hata gono wanaliita U.T.I.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yenyewe ndiyo yale mtaalam mmoja alisema yana madawa mabaya kiafyaWanywe maji mengi
Wengi mnachanganya kati ya kua na H.pylori na vidonda vya tumboNdiyo vidonda vya tumbo vinaambukizwa kwa njia zifuatazo
1. Kuambukizwa mtu moja kwenda mtu mwingine ( kwa njia ya denda-mdomo kwa mdomo )
2. Kushirikiana vifaa vya kulia chakula( vijiko, sahani, bakuri ikiwa havita oshwa kwa maji moto)
3. Matumizi holela ya dawa za kutuliza maumivu ( ibuprofen, Aspirin na nyinginezo )
4. Matumizi maji machafu, yasiyochemshwa( maji yaliyotuama/visimani
Kwa njia zote hapo juu ni rahisi na haraka Kuambukizwa mdudu aina ya H. Pylori.
NB: Vidoonda vya tumbo havina rika wala umri, mtu yeyote anaweza Kuambukizwa.
Mkuu kwa mantiki hiyo unataka kusema majibu ya rapid test zote (Antigen+antibody=Reaction) hayatakiwi kutiliwa maanani hadi pale confirmatory test itakapo fanyika?? Je unajua pia hata hizo confirmatory test ni hadimu kwenye vituo vyetu??Wengi mnachanganya kati ya kua na H.pylori na vidonda vya tumbo
The two are not synonymous to each other
Mtu anaweza kua na h.pylori lkn akaishia kupata gastritis tu , Sasa tatizo linakuja pale kila mtu mwenye h.pylori positive kuambiwa kua ana vidonda vya tumbo,kosa kubwa hili.
Confirmation of peptic ulcer need OGD not these antibodies/antigen test.
Kwa hiyo sio sahihi kusema PUD inaambukizwa kupitia maji sijui vyakula, kinachosambazwa hapo ni bacteria anaeitwa H.pylori
Sasa prevalence of h.pylori is high in these third world countries,almost 70% of the population at certain point in their life has been exposed to and contacted this pathogen
Case ya UTI nayo vile vile , Kwa sababu standard diagnosis nayo sio hii tunayoifanya
Urine sample most of the times inakua contaminated ,kasheshe inaanzia hapo
Mtu Hana hata zile dalili ya urinary tract lkn vile urine routine inasema kua kuna leucocytes+1 ,anapewa diagnosis ya UTI
Ukisoma nilichoandika hapo utaelewa vizuri tu. Huko kwenye OGD umeenda mbali sana( yani ni sawa na mtu anaumwa Acute influenza, alafu unampa referrer aende muhimbili kutibiwa.)Wengi mnachanganya kati ya kua na H.pylori na vidonda vya tumbo
The two are not synonymous to each other
Mtu anaweza kua na h.pylori lkn akaishia kupata gastritis tu , Sasa tatizo linakuja pale kila mtu mwenye h.pylori positive kuambiwa kua ana vidonda vya tumbo,kosa kubwa hili.
Confirmation of peptic ulcer need OGD not these antibodies/antigen test.
Kwa hiyo sio sahihi kusema PUD inaambukizwa kupitia maji sijui vyakula, kinachosambazwa hapo ni bacteria anaeitwa H.pylori
Sasa prevalence of h.pylori is high in these third world countries,almost 70% of the population at certain point in their life has been exposed to and contacted this pathogen
Case ya UTI nayo vile vile , Kwa sababu standard diagnosis nayo sio hii tunayoifanya
Urine sample most of the times inakua contaminated ,kasheshe inaanzia hapo
Mtu Hana hata zile dalili ya urinary tract lkn vile urine routine inasema kua kuna leucocytes+1 ,anapewa diagnosis ya UTI
Hapana ,sijasema kua yasitiliwe maananiMkuu kwa mantiki hiyo unataka kusema majibu ya rapid test zote (Antigen+antibody=Reaction) hayatakiwi kutiliwa maanani hadi pale confirmatory test itakapo fanyika?? Je unajua pia hata hizo confirmatory test ni hadimu kwenye vituo vyetu??
Hapana Mzee ,nitakupinga mpaka keshoUkisoma nilichoandika hapo utaelewa vizuri tu. Huko kwenye OGD umeenda mbali sana( yani ni sawa na mtu anaumwa Acute influenza, alafu unampa referrer aende muhimbili kutibiwa.)
. Antigen test ni tosha kabisa kufanya confirmation ya ULCERS.
. Kwa hivyo, kila gastric ulcer ni peptic ulcer, lakini si kila peptic ulcer ni gastric ulcer
Kwa hiyo source ya PUD, ACID REFLUX ni nini??.
Kwa hiyo sio sahihi kusema PUD inaambukizwa kupitia maji sijui vyakula, kinachosambazwa hapo ni bacteria anaeitwa H.pylori
Mimi sijasema hivyo mkuu,Hapana Mzee ,nitakupinga mpaka kesho
Yaani mtu itokee amepata H.pylori Leo ,baada ya wiki atakua amedevelop pud
Basi ingekua balaa Sasa
Hiyo antigen test kua confirmation ya pud umeitolea wapi mkuu, sikumbuki kusoma kitu cha namna hiyo
Sasa utamuambiaje mtu ana kidonda bila ya kukiona?
Mzee wewe ni Genius. Hiki kisababishi inawezekana ndiyo kinaongoza na wengi hawajagundua bado.kati ya vitu ambavyo vimebeba sana wadudu hawa wa homa za matumbo km PUD,GASTRITIS and alike ni pesa ,yani hela/pesa ni chafu kupindukia kwasababu inazunguka kwenye mikono ming michafu na vile watz hatuna ustaarabu wa kunawa ndio bas tena tuumwe tu